Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

UTAJIRI WA NENO YA MUNGU

Unaona Kazi ya Mikono Kuwa ya Hali ya Chini?

Unaona Kazi ya Mikono Kuwa ya Hali ya Chini?

Kuhani mukubwa na ndugu zake hawakujiona kuwa watu wa maana sana wenye hawangeweza kusaidia kazi ya kujenga tena kuta za Yerusalemu (Ne 3:1)

Watu fulani wa maana walikatala “kujishusha” ili kusaidia mu kazi ya kujenga (Ne 3:5; w06-SW 1/2 uku. 10 fu. 1)

Wanamuke wenye kumuogopa Mungu walijitoa ili kusaidia mu ile kazi yenye iliomba nguvu mingi ya kimwili (Ne 3:12; w19.10 uku. 23 fu.11)

Kazi mingi zenye zinafanywa mu kutaniko ni kazi za mikono na zinafanywa bila wengine kujua.​—w04-SW 1/8 uku. 18 fu. 16.

UJIULIZE HIVI: ‘Niko na mawazo gani kuhusu kufanya kazi za vile kwa ajili ya Ufalme?’​—1Ko 9:23.