Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

UTAJIRI WA NENO YA MUNGU

Nehemia Alipenda Kutumikia Wengine, Hapana Wengine Wamutumikie

Nehemia Alipenda Kutumikia Wengine, Hapana Wengine Wamutumikie

Nehemia hakutumia mamlaka yake ili kujitafutia faida (Ne 5:14, 15, 17, 18; w02-SW 1/11 uku. 27 fu. 3)

Nehemia hakusimamia tu kazi; naye alitumika (Ne 5:16; w16.09 uku. 6 fu. 16)

Nehemia aliomba Yehova amukumbuke sababu alijitoa kwa upendo (Ne 5:19; w00-SW 1/2 uku. 32)

Hata kama Nehemia alikuwa gavana, hakutazamia watu wamutendee kwa njia ya pekee. Nehemia ni mufano muzuri kwa wale wenye kuwa na mapendeleo na madaraka mu kutaniko.

UJIULIZE HIVI: ‘Ninakazia sana mambo yenye ninaweza kufanyia wengine kuliko mambo yenye wengine wanaweza kunifanyia?’