Tarehe 12-18/8
ZABURI 73-74
Wimbo 36 na Sala | Maneno ya Utangulizi (Dak. 1)
1. Mambo Itakuwa Namna Gani Kama Tunatamania Watu Wenye Hawamutumikie Mungu?
(Dak. 10)
Kama hatuko waangalifu, tunaweza kuanza kutamania watu wenye hawamutumikie Mungu (Zb 73:3-5; w20.12 uku. 19 fu. 14)
Kujiunga na ndugu na dada zetu juu ya kumuabudu Yehova, kuliko kujitenga nao, njo kutatusaidia tusitamanie wale wenye hawamutumikie Mungu (Zb 73:17; Mez 18:1; w20.12 uku. 19-20 fu. 15-16)
Wale wenye hawamutumikie Mungu wako “kwenye udongo wenye kutereza;” lakini wale wenye kumutumikia wanaongozwa “kwenye utukufu” (Zb 73:18, 19, 24; w14 15/4 uku. 4 fu. 5; w13 15/2 uku. 25-26 fu. 3-5)
2. Mali ya Kiroho
(Dak. 10)
Zb 74:13, 14—Inawezekana “Leviatani” ilikuwa nini? (it-2-F uku. 132)
Mu usomaji wa Biblia wa hii juma, ulipata mali gani ya kiroho yenye ungependa kuzungumuzia?
3. Usomaji wa Biblia
(Dak. 4) Zb 74:1-23 (th somo ya 10)
4. Kuanzisha Mazungumuzo
(Dak. 3) MAHUBIRI YA WAKATI WOWOTE. Tafuta nafasi ya kuambia mutu mwenye unajua jambo fulani yenye ulijifunza ku mikutano yenye ilipita. (lmd somo ya 2 nukta ya 4)
5. Kuendelesha Mazungumuzo
(Dak. 4) MAHUBIRI YA MAHALI PA WATU WENGI. Ambia mutu kuhusu mupango wetu wa kujifunza Biblia na watu na umuonyeshe namna tunafanyaka vile. (lmd somo ya 8 nukta ya 3)
6. Kufasiria Mambo Yenye Unaamini
(Dak. 5) Hotuba. ijwbq 89—Kichwa: Dini Zote Ziko Sawa? (th somo ya 14)
Wimbo 72
7. Mahitaji ya Kutaniko
(Dak. 15)
8. Funzo ya Biblia ya Kutaniko
(Dak. 30) bt sura ya 14 fu. 1-6, kisanduku ku uku. 112