Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

Tarehe 19-25/8

ZABURI 75-77

Tarehe 19-25/8

Wimbo 120 na Sala | Maneno ya Utangulizi (Dak. 1)

UTAJIRI WA NENO YA MUNGU

1. Juu ya Nini Hatupaswe Kujisifu?

(Dak. 10)

Wale wenye kujisifu hawamufurahishake Mungu (Zb 75:4; 1Ti 3:6; w18.01 uku. 28 fu. 4-5)

Pendeleo ao daraka yenye tuko nayo mu kutaniko ni zawadi ya bure kutoka kwa Yehova (Zb 75:5-7; w06-SW 15/7 uku. 11 fu. 2)

Yehova atanyenyekeza wale wenye kuwa na kiburi, sawa vile watawala wa mu hii dunia wenye kujivuna (Zb 76:12)

2. Mali ya Kiroho

(Dak. 10)

  • Zb 76:10—Namna gani “kasirani kali ya mwanadamu” inaweza kumuletea Yehova sifa? (w06-SW 15/7 uku. 11 fu. 3)

  • Mu usomaji wa Biblia wa hii juma, ulipata mali gani ya kiroho yenye ungependa kuzungumuzia?

3. Usomaji wa Biblia

TUJITOE KABISA MU KAZI YA KUHUBIRI

4. Kuanzisha Mazungumuzo

(Dak. 3) MAHUBIRI YA WAKATI WOWOTE. Onyesha video moya ya ku jw.org mu luga yenye mutu mwenye uko naongea naye anapenda. (lmd somo ya 1 nukta ya 4)

5. Kuanzisha Mazungumuzo

(Dak. 4) NYUMBA KWA NYUMBA. Ukuwe tayari kupatanisha mazungumuzo yako wakati mutu anakuambia kama haamini Mungu. (lmd somo ya 2 nukta ya 5)

6. Kufanya Wanafunzi

MAISHA YA MUKRISTO

Wimbo 127

7. Ubakie Mushikamanifu Wakati Wengine Wanakusifu

(Dak. 7) Mazungumuzo.

Muangalie VIDEO Uige Ushikamanifu wa Yesu—Wakati Alisifiwa. Kisha uliza wasikilizaji:

  • Umejifunza nini kuhusu namna Sergei alijibia kwa unyenyekevu wakati walimusifu?

8. Kampanye ya Pekee ya Kuanzisha Mafunzo ya Biblia mu Mwezi wa 9 kwa Kutumia Furahia Maisha Milele!

(Dak. 8) Itolewe na mwangalizi wa utumishi. Uchochee ndugu na dada wakuwe na bidii kwa ajili ya kampanye na uzungumuzie mipango yenye ilishakamatwa.

9. Funzo ya Biblia ya Kutaniko

Maneno ya Kumalizia (Dak. 3) | Wimbo 95 na Sala