Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

Tarehe 5-11/8

ZABURI 70-72

Tarehe 5-11/8

Wimbo 59 na Sala | Maneno ya Utangulizi (Dak. 1)

UTAJIRI WA NENO YA MUNGU

1. ‘Ambia Kizazi Chenye Kitafuata’ Kuhusu Nguvu za Mungu

(Dak. 10)

Wakati Daudi alikuwa kijana Yehova alimulinda (Zb 71:5; w99-SW 1/9 uku. 18 fu. 17)

Wakati Daudi alizeeka Yehova alimutegemeza (Zb 71:9; g04-SW 8/10 uku. 23 fu. 3)

Daudi alitia vijana moyo kwa kuzungumuzia mambo yenye alijionea (Zb 71:17, 18; w14 15/1 uku. 23 fu. 4-5)

UJIULIZE, ‘Ku Ibada ya Familia, ni ndugu ao dada gani mwenye alishakawia mu tengenezo mwenye napenda kuuliza maulizo?’

2. Mali ya Kiroho

(Dak. 10)

  • Zb 72:8—Namna gani mambo yenye Yehova alimuambia Abrahamu mu Mwanzo 15:18 ilitimia wakati wa utawala wa Mufalme Sulemani? (it-1-F uku. 825)

  • Mu usomaji wa Biblia wa hii juma, ulipata mali gani ya kiroho yenye ungependa kuzungumuzia?

3. Usomaji wa Biblia

TUJITOE KABISA MU KAZI YA KUHUBIRI

4. Kuanzisha Mazungumuzo

(Dak. 3) NYUMBA KWA NYUMBA. Wakati mutu anaanza kubishana na weye, uachane naye mu kimya. (lmd somo ya 4 nukta ya 5)

5. Kuendelesha Mazungumuzo

(Dak. 4) MAHUBIRI YA WAKATI WOWOTE. Endelesha mazungumuzo na mutu wa familia mwenye iko na wasiwasi juu ya kujifunza Biblia. (lmd somo ya 8 nukta ya 4)

6. Kufasiria Mambo Yenye Unaamini

(Dak. 5) Hotuba. ijwfq 49—Kichwa: Juu ya Nini Mashahidi wa Yehova Wamebadilisha Mambo Fulani Yenye Wanaamini? (th somo ya 17)

MAISHA YA MUKRISTO

Wimbo 76

7. Mapendekezo juu ya Ibada ya Familia

(Dak. 15) Mazungumuzo.

Ibada ya Familia ni wakati ya muzuri ya kusaidia watoto wajifunze “nizamu na maonyo ya Yehova.” (Efe 6:4) Haiko mwepesi kujifunza, lakini inaweza kufurahisha, zaidi sana wakati watoto wako na hamu ya kujifunza kweli za Biblia. (Yoh 6:27; 1Pe 2:2) Zungumuzia kisanduku “ Mapendekezo juu ya Ibada ya Familia” yenye inaweza kusaidia wazazi wafanye Ibada ya Familia ikuwe yenye kujenga na yenye kufurahisha, kisha muzungumuzie hii maulizo:

  • Kati ya hii mapendekezo, unapenda kutumikisha ya wapi?

  • Ulipata pendekezo ingine yenye inaweza kusaidia?

Muangalie VIDEO Muendelee kufanya ibada yenu ya familia ikuwe muzuri zaidi. Na kisha uliza wasikilizaji:

  • Namna gani bwana anaweza kufanya ibada ya familia ifurahishe bibi yake hata kama hawana watoto ku nyumba?

8. Funzo ya Biblia ya Kutaniko

Maneno ya Kumalizia (Dak. 3) | Wimbo 123 na Sala