Tarehe 8-14/7
ZABURI 60-62
Wimbo 2 na Sala | Maneno ya Utangulizi (Dak. 1)
1. Yehova Anatulindaka, Anafanyaka Tukuwe Salama na Tukuwe Imara
(Dak. 10)
Yehova iko kama munara wenye nguvu (Zb 61:3; it-2-F uku. 1089 fu. 9)
Yehova anaturuhusu tukuwe wageni mu hema yake (Zb 61:4; it-2-F uku. 1061 fu. 3)
Yehova iko kama mwamba (Zb 62:2; w02-SW 15/4 uku. 16 fu. 14)
UJIULIZE, ‘Namna gani kumujua Yehova na kumutumainia kunafanya maisha yangu ikuwe muzuri zaidi?’
2. Mali ya Kiroho
(Dak. 10)
Zb 62:11—Juu ya nini Biblia inasema kama ‘nguvu ni za Mungu’? (w06-SW 1/6 uku. 11 fu. 6)
Mu usomaji wa Biblia wa hii juma, ulipata mali gani ya kiroho yenye ungependa kuzungumuzia?
3. Usomaji wa Biblia
(Dak. 4) Zb 60:1–61:8 (th somo ya 10)
4. Kuanzisha Mazungumuzo
(Dak. 3) MAHUBIRI YA WAKATI WOWOTE. Anzisha mazungumuzo na mutu mwenye amekufanyia jambo fulani ya muzuri. (lmd somo ya 2 nukta ya 3)
5. Kuendelesha Mazungumuzo
(Dak. 4) MAHUBIRI YA NYUMBA KWA NYUMBA. Ambia mutu kuhusu JW Library, na umuonyeshe namna ya ku installer ile application. (lmd somo ya 7 nukta ya 4)
6. Hotuba
(Dak. 5) w22.02 uku. 4-5 fu. 7-10—Kichwa: Umutumainie Yehova Wakati Unatolewa Muongozo Fulani. (th somo ya 20)
Wimbo 12
7. Hakuna Kitu Yenye Inaweza “Kututenganisha na Upendo wa Mungu”
(Dak. 10) Mazungumuzo.
Muangalie VIDEO. Kisha uliza wasikilizaji:
Ni mu njia gani za pekee Yehova alimulinda ndugu Nyirenda wakati alipata mateso?
8. Ukuwe Rafiki ya Yehova—Mambo ya Kufanya juu Ufikie Kubatizwa
(Dak. 5) Mazungumuzo. Muangalie VIDEO. Kisha, kama inawezekana, ualike ku jukwaa watoto wenye ulichagua na uwaulize: Juu ubatizwe, nini njo jambo ya maana zaidi kuliko miaka yako? Ni mambo gani unapaswa kufanya juu ubatizwe?
9. Funzo ya Biblia ya Kutaniko
(Dak. 30) bt sura ya 12 fu. 7-13, kisanduku ku uku. 97