Namna ya Kuanzisha Mazungumuzo
AMUKA!
Ulizo: Kuacha tabia za mubaya ili kuwa na tabia za muzuri kunaomba wakati. Lakini, kuko faida?
Andiko: Mhu 7:8a
Namna ya Kutoa: Gazeti hili linazungumuzia kanuni za Biblia zenye zinaweza kutusaidia kuwa na uwezo juu ya tabia zetu ili tupate faida.
AMUKA!
Ulizo: Hatuwezi kuepuka mabadiliko katika maisha yetu. Unawaza ni nini inaweza kutusaidia kupambana na mabadiliko hayo?
Andiko: Mhu 7:10
Namna ya Kutoa: [Onyesha habari yenye kuwa kwenye ukurasa wa 10.] Habari hii inaonyesha kanuni za Biblia zenye zinaweza kutusaidia kupambana na mabadiliko.
UMUSIKILIZE MUNGU ILI UISHI MILELE
Ulizo: Sisi wote tuko na jina, hata watu wa familia yetu na marafiki wetu. Mungu naye ana jina? Jina lake nani?
Andiko: Zab 83:18
Namna ya Kutoa: Broshua hii inaeleza mambo mengine mengi yenye Biblia inafundisha juu ya Mungu. [Muzungumuzie ukurasa wa 6 na 7.]
ANDIKA NAMNA UNAWEZA PIA KUANZISHA MAZUNGUMUZO
Ulizo:
Andiko:
Namna ya Kutoa Kichapo: