Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

Tarehe 1-7, Mwezi wa 8

ZABURI 87-91

Tarehe 1-7, Mwezi wa 8
  • Wimbo 49 na Sala

  • Maneno ya Utangulizi (Isipite dak. 3)

UTAJIRI WA NENO LA MUNGU

  • Bakia Mahali pa Siri pa Aliye Juu Zaidi”: (Dak. 10)

    • Zab 91:1, 2—“Mahali pa siri” pa Yehova panatoa ulinzi wa kiroho (w10 15/2 uku. 26-27 fu. 10-11)

    • Zab 91:3—Kama mwindaji wa ndege, Shetani anajaribu kutukamata kupitia mitego (w07 1/10 uku. 26-30 fu. 1-18)

    • Zab 91:9-14—Yehova ni kimbilio letu (w10 15/1 uku. 10-11 fu. 13-14; w01 15/11 uku. 19-20 fu. 13-19)

  • Chimba ili Kupata Mali ya Kiroho: (Dak. 8)

    • Zab 89:34-37—Ni agano gani linatajwa katika andiko hili, na namna gani Yehova alionyesha kama agano hilo litatimia kabisa? (w14 15/10 uku. 10 fu. 14; w07 15/7 uku. 32 fu. 3-4)

    • Zab 90:10, 12—Namna gani tunaweza “kuzihesabu siku zetu” ili tukuwe na “moyo wa hekima”? (w06 15/7 uku. 13 fu. 4; w01 15/11 uku. 13 fu. 19)

    • Usomaji wa Biblia wa juma hili unanifundisha nini juu ya Yehova?

    • Ni mambo gani ya usomaji wa juma hili ninaweza kutumia katika mahubiri?

  • Usomaji wa Biblia: (Isipite dak. 4) Zab 90:1-17

TUJITOE KABISA KATIKA KAZI YA KUHUBIRI

  • Tujitayarishe ili Kutolea Watu Vichapo Katika Mwezi Huu: (Dak. 15) Mazungumuzo. Muangalie video zenye kuonyesha namna ya kuanzisha mazungumuzo na kisha, muzungumuzie mambo makubwa ya kila video. Utie moyo wahubiri waandike namna wanaweza pia kuanzisha mazungumuzo.

MAISHA YA MUKRISTO