Tarehe 22-28 Mwezi wa 8
ZABURI 106-109
Wimbo 2 na Sala
Maneno ya Utangulizi (Isipite dak. 3)
UTAJIRI WA NENO LA MUNGU
‘Mumushukuru Yehova’: (Dak. 10)
Zab 106:1-3—Tunapaswa kumushukuru Yehova (w15 15/1 uku. 8 fu. 1; w02 1/6 uku. 18 fu. 19)
Zab 106:7-14, 19-25, 35-39—Kukosa shukrani kulifanya Waisraeli wakose uaminifu (w15 15/1 uku. 8-9 fu. 2-3; w01 15/6 uku. 13 fu. 1-3)
Zab 106:4, 5, 48—Tuko na sababu nyingi za kumushukuru Yehova (w11 15/10 uku. 5 fu. 7; w03 1/12 uku. 15-16 fu. 3-6)
Chimba ili Kupata Mali ya Kiroho: (Dak. 8)
Zab 109:8—Mungu alipanga mbele ya wakati kama Yuda atamusaliti Yesu ili kutimiza unabii? (w00 15/12 uku. 24 fu. 20; it-2-F uku. 646)
Zab 109:31—Ni katika njia gani Yehova ‘anasimama kwenye mukono wa kuume wa masikini’? (w06 1/9 uku. 14 fu. 8)
Usomaji wa Biblia wa juma hili unanifundisha nini juu ya Yehova?
Ni mambo gani ya usomaji wa juma hili ninaweza kutumia katika mahubiri?
Usomaji wa Biblia: (Isipite dak. 4) Zab 106:1-22
TUJITOE KABISA KATIKA KAZI YA KUHUBIRI
Kumutembelea Mutu Mara ya Kwanza: (Isipite dak. 2) ll uku. 6—Umutayarishe kwa ajili ya kumurudilia.
Kumurudilia Mutu: (Isipite dak. 4) ll uku. 7—Umutayarishe kwa ajili ya mazungumuzo ya siku ingine.
Funzo la Biblia: (Isipite dak. 6) bh uku. 178-179 fu. 14-16—Umusaidie mwanafunzi aone namna anaweza kutumia habari yenye munajifunza.
MAISHA YA MUKRISTO
Wimbo 94
Yehova Atatupatia Mambo Yenye Tuko Nayo Lazima (Zab 107:9): (Dak. 15) Mazungumuzo. Muanze kwa kuangalia video Yehova Atatupatia Mambo Yenye Tuko Nayo Lazima. (Inapatikana pia katika Kifaransa kwenye JW Télédiffusion; fungua VIDEO À LA DEMANDE > FAMILLE.) Omba wasikilizaji waeleze mambo yenye wamejifunza katika video hiyo.
Funzo la Biblia la Kutaniko: (Dak. 30) ia sura ya 22 fu. 14-24, mambo ya kukumbuka kwenye uku. 194
Kurudilia kwa kifupi mambo yenye mumejifunza, na kuzungumuzia kwa kifupi mambo ya kujifunza juma lenye kufuata (Dak. 3)
Wimbo 149 na Sala