Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

Tarehe 22-28 Mwezi wa 8

ZABURI 106-109

Tarehe 22-28 Mwezi wa 8
  • Wimbo 2 na Sala

  • Maneno ya Utangulizi (Isipite dak. 3)

UTAJIRI WA NENO LA MUNGU

  • ‘Mumushukuru Yehova’: (Dak. 10)

  • Chimba ili Kupata Mali ya Kiroho: (Dak. 8)

    • Zab 109:8—Mungu alipanga mbele ya wakati kama Yuda atamusaliti Yesu ili kutimiza unabii? (w00 15/12 uku. 24 fu. 20; it-2-F uku. 646)

    • Zab 109:31—Ni katika njia gani Yehova ‘anasimama kwenye mukono wa kuume wa masikini’? (w06 1/9 uku. 14 fu. 8)

    • Usomaji wa Biblia wa juma hili unanifundisha nini juu ya Yehova?

    • Ni mambo gani ya usomaji wa juma hili ninaweza kutumia katika mahubiri?

  • Usomaji wa Biblia: (Isipite dak. 4) Zab 106:1-22

TUJITOE KABISA KATIKA KAZI YA KUHUBIRI

  • Kumutembelea Mutu Mara ya Kwanza: (Isipite dak. 2) ll uku. 6—Umutayarishe kwa ajili ya kumurudilia.

  • Kumurudilia Mutu: (Isipite dak. 4) ll uku. 7—Umutayarishe kwa ajili ya mazungumuzo ya siku ingine.

  • Funzo la Biblia: (Isipite dak. 6) bh uku. 178-179 fu. 14-16—Umusaidie mwanafunzi aone namna anaweza kutumia habari yenye munajifunza.

MAISHA YA MUKRISTO

  • Wimbo 94

  • Yehova Atatupatia Mambo Yenye Tuko Nayo Lazima (Zab 107:9): (Dak. 15) Mazungumuzo. Muanze kwa kuangalia video Yehova Atatupatia Mambo Yenye Tuko Nayo Lazima. (Inapatikana pia katika Kifaransa kwenye JW Télédiffusion; fungua VIDEO À LA DEMANDE > FAMILLE.) Omba wasikilizaji waeleze mambo yenye wamejifunza katika video hiyo.

  • Funzo la Biblia la Kutaniko: (Dak. 30) ia sura ya 22 fu. 14-24, mambo ya kukumbuka kwenye uku. 194

  • Kurudilia kwa kifupi mambo yenye mumejifunza, na kuzungumuzia kwa kifupi mambo ya kujifunza juma lenye kufuata (Dak. 3)

  • Wimbo 149 na Sala