Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

Tarehe 29 Mwezi wa 8–4 Mwezi wa 9

ZABURI 110-118

Tarehe 29 Mwezi wa 8–4 Mwezi wa 9
  • Wimbo 61 na Sala

  • Maneno ya Utangulizi (Isipite dak. 3)

UTAJIRI WA NENO LA MUNGU

  • ‘Nitamulipa Yehova Nini?’: (Dak. 10)

    • Zab 116:3, 4, 8—Yehova aliokoa muandikaji wa zaburi hii ili asipatwe na kifo (w87 15/3 uku. 24 fu. 5)

    • Zab 116:12—Muandikaji wa zaburi hii alipenda kumushukuru Yehova (w09 15/7 uku. 29 fu. 4-5; w98 1/12 uku. 24 fu. 3)

    • Zab 116:13, 14, 17, 18—Muandikaji wa zaburi hii alikuwa tayari kufanya mambo yote yenye Yehova anaomba (w10 15/4 uku. 27, kisanduku)

  • Chimba ili Kupata Mali ya Kiroho: (Dak. 8)

    • Zab 110:4—Kiapo chenye kuzungumuziwa katika andiko hili ni nini? (w14 15/10 uku. 11 fu. 15-17; w06 1/9 uku. 14 fu. 1)

    • Zab 116:15—Sababu gani andiko hili halipaswe kutumiwa kwenye hotuba ya mazishi juu ya mutu mwenye amekufa? (w12 15/5 uku. 22 fu. 2)

    • Usomaji wa Biblia wa juma hili unanifundisha nini juu ya Yehova?

    • Ni mambo gani ya usomaji wa juma hili ninaweza kutumia katika mahubiri?

  • Usomaji wa Biblia: (Isipite dak. 4) Zab 110:1–111:10

TUJITOE KABISA KATIKA KAZI YA KUHUBIRI

  • Kumutembelea Mutu Mara ya Kwanza: (Isipite dak. 2) ll 16—Umutayarishe kwa ajili ya kumurudilia.

  • Kumurudilia Mutu: (Isipite dak. 4) ll 17—Umutayarishe kwa ajili ya mazungumuzo ya siku ingine.

  • Funzo la Biblia: (Isipite dak. 6) bh uku. 179-181 fu. 17-19—Umusaidie mwanafunzi aone namna anaweza kutumia habari yenye munajifunza.

MAISHA YA MUKRISTO

  • Wimbo 82

  • Fundisha Kweli”: (Dak. 7) Mazungumuzo.

  • Kampanye ya Pekee ya Kutolea Watu Gazeti Munara wa Mulinzi Katika Mwezi wa 9”: (Dak. 8) Mazungumuzo. Muangalie video ya kwanza juu ya namna ya kutoa gazeti la Mwezi wa 9, kisha muzungumuzie mambo makubwa. Uchochee ndugu na dada wahubiri kwa bidii wakati wa kampanye hiyo, na uwatie moyo wakuwe mapainia wasaidizi.

  • Funzo la Biblia la Kutaniko: (Dak. 30) ia sura ya 23 fu. 1-14

  • Kurudilia kwa kifupi mambo yenye mumejifunza, na kuzungumuzia kwa kifupi mambo ya kujifunza juma lenye kufuata (Dak. 3)

  • Wimbo 144 na Sala

    Tafazali, musikilize kwanza muziki wote wa wimbo huo mara moja, na kisha kutaniko liimbe wimbo huo mupya.