Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

Tarehe 8-14, Mwezi wa 8

ZABURI 92-101

Tarehe 8-14, Mwezi wa 8
  • Wimbo 28 na Sala

  • Maneno ya Utangulizi (Isipite dak. 3)

UTAJIRI WA NENO LA MUNGU

  • Kuendelea Kuwa Nguvu Kiroho Wakati wa Uzee”: (Dak. 10)

    • Zab 92:12—Waadilifu wanazaa matunda ya kiroho (w07 15/9 uku. 32; w06 15/7 uku. 13 fu. 2)

    • Zab 92:13, 14—Wakristo wenye kuzeeka wanaweza kuwa nguvu kiroho hata kama hawana tena nguvu ya kimwili (w14 15/1 uku. 26 fu. 17; w04 15/5 uku. 12 fu. 9-10)

    • Zab 92:15—Wakristo wenye kuzeeka wanaweza kutumia mambo yenye wamejionea katika maisha ili kujenga wengine (w04 15/5 uku. 12-14 fu. 13-18)

  • Chimba ili Kupata Mali ya Kiroho: (Dak. 8)

    • Zab 99:6, 7—Sababu gani Musa, Haruni, na Samweli ni mifano mizuri? (w15 15/7 uku. 8 fu. 5)

    • Zab 101:2—‘Kutembea katika utimilifu wa moyo’ ndani ya nyumba yetu kunamaanisha nini? (w05 1/11 uku. 24 fu. 14)

    • Usomaji wa Biblia wa juma hili unanifundisha nini juu ya Yehova?

    • Ni mambo gani ya usomaji wa juma hili ninaweza kutumia katika mahubiri?

  • Usomaji wa Biblia: (Isipite dak. 4) Zab 95:1–96:13

TUJITOE KABISA KATIKA KAZI YA KUHUBIRI

  • Kumutembelea Mutu Mara ya Kwanza: (Isipite dak. 2) g16.4 habari kubwa—Umutayarishe kwa ajili ya kumurudilia.

  • Kumurudilia Mutu: (Isipite dak. 4) g16.4 habari kubwa—Umutayarishe kwa ajili ya mazungumuzo ya siku ingine.

  • Funzo la Biblia: (Isipite dak. 6) bh uku. 161-162 fu. 18-19—Umusaidie mwanafunzi aone namna anaweza kutumia habari yenye munajifunza.

MAISHA YA MUKRISTO

  • Wimbo 90

  • Wakristo Wenye Kuzeeka Ni wa Maana (Zab 92:12-15): (Dak. 15) Mazungumuzo. Muangalie video Wakristo Wenye Kuzeeka Ni wa Maana. (Inapatikana pia katika Kifaransa kwenye JW Télédiffusion; fungua VIDEO À LA DEMANDE > BIBLE.) Kisha omba wasikilizaji waeleze mambo yenye wamejifunza katika video hiyo. Utie moyo Wakristo wenye kuzeeka watumie hekima yao na mambo yenye wamejionea katika maisha ili kusaidia vijana.

  • Funzo la Biblia la Kutaniko: (Dak. 30) ia sura ya 21 fu. 13-22, mambo ya kukumbuka kwenye uku. 186

  • Kurudilia kwa kifupi mambo yenye mumejifunza, na kuzungumuzia kwa kifupi mambo ya kujifunza juma lenye kufuata (Dak. 3)

  • Wimbo 29 na Sala