Dada mumoja anahubiria mama na mutoto katika Bengali ya Mashariki, India

BUKU YA MUKUTANO UTUMISHI NA MAISHA YA MUKRISTO Mwezi wa 9, 2016

Namna ya Kuanzisha Mazungumuzo

Namna ya kutolea mutu gazeti Munara wa Mulinzi na kweli ya Biblia yenye kuonyesha kama Mungu anatuhangaikia. Fuata mifano hiyo ili kuandika namna yako ya kuanzisha mazungumuzo.

UTAJIRI WA NENO LA MUNGU

‘Tembea Katika Sheria ya Yehova’

Inamaanisha nini kutembea katika sheria ya Yehova? Muandikaji wa Zaburi ya 119 ni mufano muzuri kwetu leo.

MAISHA YA MUKRISTO

Tutafanya Nini Kama Mutoto Ndiye Anatukaribisha?

Namna ya kufanya ili kuonyesha kama tunaheshimia wazazi

UTAJIRI WA NENO LA MUNGU

‘Musaada Wangu Unatoka kwa Yehova’

Zaburi ya 121 inatumia maneno ya mufano ili kuzungumuzia ulinzi wa Yehova.

UTAJIRI WA NENO LA MUNGU

Tuliumbwa kwa Njia ya Ajabu

Katika Zaburi ya 139, Daudi anamusifu Yehova kwa ajili ya vitu vya ajabu vyenye aliumba.

MAISHA YA MUKRISTO

Epuka Mitego Hii Wakati Unaongoza Funzo la Biblia

Tunapaswa kuepuka nini ili tuguse moyo wa mwanafunzi wetu wa Biblia?

UTAJIRI WA NENO LA MUNGU

‘Yehova Ni Mukubwa na wa Kusifiwa Sana’

Katika Zaburi ya 145, Daudi anaonyesha namna Yehova anahangaikia watumishi Wake washikamanifu.

MAISHA YA MUKRISTO

Tukomalishe Ufundi Wetu wa Kuhubiri—Kualika Watu Wenye Kupendezwa Kwenye Mikutano

Kwa kawaida watu wenye kupendezwa na wanafunzi wa Biblia wanafanya maendeleo makubwa wakati wanaanza kuhuzuria mikutano.