Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

Namna ya Kuanzisha Mazungumuzo

Namna ya Kuanzisha Mazungumuzo

MUNARA WA MULINZI

Ulizo: Wakati fulani sisi wote tuko na lazima ya kitulizo. Lakini tunaweza kukipata wapi?

Andiko: 2Kor 1:3, 4

Namna ya Kutoa: Gazeti hili linaonyesha namna Mungu anatoa kitulizo.

MUNARA WA MULINZI (ukurasa wa mwisho)

Ulizo: Watu fulani wanawaza kama Ufalme wa Mungu uko katika moyo wa mutu; wengine wanasema ni matokeo ya kujikaza kwa wanadamu ili kuleta amani katika dunia. Weye unawaza nini?

Andiko: Dan 2:44

Namna ya Kutoa: Biblia inaonyesha kama Ufalme wa Mungu ni serikali ya kweli kabisa. Habari hii inazungumuzia zaidi mambo yenye Biblia inasema juu ya Ufalme wa Mungu.

FUNDISHA KWELI

Ulizo: Namna gani tunaweza kujua kama Mungu anatuhangaikia?

Andiko: 1Pet 5:7

Kweli: Mungu anatuomba tusali kwake kwa sababu anatuhangaikia

ANDIKA NAMNA UNAWEZA PIA KUANZISHA MAZUNGUMUZO

Ulizo:

Andiko:

Namna ya Kutoa: