Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

Tarehe 19-25, Mwezi wa 9

Zaburi 135-141

Tarehe 19-25, Mwezi wa 9
  • Wimbo 59 na Sala

  • Maneno ya Utangulizi (Isipite dak. 3)

UTAJIRI WA NENO LA MUNGU

  • “Tuliumbwa kwa Njia ya Ajabu”: (Dak. 10)

    • Zab 139:14—Kuchunguza uumbaji wa Yehova kunafanya tumuheshimie zaidi (w07 15/6 uku. 21 fu. 1-4)

    • Zab 139:15, 16—Chembe zetu za uriti na chembe zingine zinaonyesha nguvu na hekima ya Yehova (w07 15/6 uku. 22-23 fu. 7-11)

    • Zab 139:17, 18—Wanadamu wako na uwezo wa pekee wa kuzungumuza na kufikiri (w07 15/6 uku. 23 fu. 12-13; w06 1/9 uku. 16 fu. 8)

  • Chimba ili Kupata Mali ya Kiroho: (Dak. 8)

    • Zab 136:15—Andiko hili linafunua nini juu ya habari yenye kupatikana katika kitabu cha Kutoka? (it-1-F uku. 842 fu. 5)

    • Zab 141:5—Mufalme Daudi alitambua nini? (w15 15/4 uku. 31 fu. 1)

    • Usomaji wa Biblia wa juma hili unanifundisha nini juu ya Yehova?

    • Ni mambo gani ya usomaji wa juma hili ninaweza kutumia katika mahubiri?

  • Usomaji wa Biblia: (Isipite dak. 4) Zab 139:1-24

TUJITOE KABISA KATIKA KAZI YA KUHUBIRI

  • Kumutembelea Mutu Mara ya Kwanza: (Isipite dak. 2) wp16.5 16

  • Kumurudilia Mutu: (Isipite dak. 4) wp16.5 16—Ualike musikilizaji kwenye mikutano.

  • Funzo la Biblia: (Isipite dak. 6) fg somo la 8 fu. 8—Saidia mwanafunzi atumikishe habari yenye munajifunza.

MAISHA YA MUKRISTO

  • Wimbo 57

  • “Epuka Mitego Hii Wakati Unaongoza Funzo la Biblia”: (Dak. 15) Kisha kuzungumuzia habari hii, muangalie na kuzungumuzia video yenye sehemu mbili yenye kuonyesha namna ya muzuri na ya mubaya ya kuongoza funzo kwa kutumia kitabu Biblia Inafundisha kwenye ukurasa wa 29, fungu la 7. Wahubiri wanapaswa kufuata katika vitabu vyao. Kumbusha wale wenye kupewa migao ya wanafunzi kama kuepuka mitego hiyo kunaweza kuwasaidia wasipitishe wakati.

  • Funzo la Biblia la Kutaniko: (Dak. 30) kr Barua ya Baraza Lenye Kuongoza na sura ya 1 fu. 1-10

  • Kurudilia kwa kifupi mambo yenye mumejifunza, na kuzungumuzia kwa kifupi mambo ya kujifunza juma lenye kufuata (Dak. 3)

  • Wimbo 30 na Sala