Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

UTAJIRI WA NENO LA MUNGU | ZABURI 135-141

Tuliumbwa kwa Njia ya Ajabu

Tuliumbwa kwa Njia ya Ajabu

Daudi alitafakari juu ya sifa za Mungu zenye kuonekana kupitia uumbaji wake. Alimutumainia Yehova na alitumia maisha yake ili kumutumikia.

Kufikiri sana juu ya uumbaji kulimuchochea Daudi amusifu Yehova:

139:14

  • “Nitakusifu kwa sababu nimeumbwa kwa njia ya ajabu yenye kuogopesha”

139:15

  • “Mifupa yangu haikufichwa kwako nilipofanyizwa katika siri, nilipoungwa katika sehemu za chini kabisa za dunia”

139:16

  • “Macho yako yalikiona kiini-tete changu, na katika kitabu chako sehemu zake zote zilikuwa zimeandikwa”