Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

UTAJIRI WA NENO LA MUNGU | ZABURI 142-150

‘Yehova Ni Mukubwa na wa Kusifiwa Sana’

‘Yehova Ni Mukubwa na wa Kusifiwa Sana’

145:1-5

Kuona namna ukubwa wa Yehova hauna mipaka kulichochea Daudi amusifu milele

145:10-12

Kama Daudi, kila mara watumishi washikamanifu wa Yehova wanazungumuza juu ya ukubwa wake wakati wanaongea na wengine

145:14

Daudi alikuwa hakika kama Yehova iko na uwezo wa kuhangaikia watumishi wake na anapenda kufanya hivyo