Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

Tarehe 5-11, Mwezi wa 9

Zaburi 119

Tarehe 5-11, Mwezi wa 9
  • Wimbo 48 na Sala

  • Maneno ya Utangulizi (Isipite dak. 3)

UTAJIRI WA NENO LA MUNGU

  • ‘Tembea Katika Sheria ya Yehova’: (Dak. 10)

    • Zab 119:1-8—Ili kuwa na furaha ya kweli tunapaswa kutembea katika sheria ya Yehova (w05 15/4 uku. 10 fu. 3-4)

    • Zab 119:33-40—Neno la Mungu linatupatia nguvu yenye tuko nayo lazima ili kupambana na majaribu (w05 15/4 uku. 12 fu. 12)

    • Zab 119:41-48—Kuwa na ujuzi wa kweli juu ya Neno la Mungu kunatusaidia kuhubiri bila woga (w05 15/4 uku. 13 fu. 13-14)

  • Chimba ili Kupata Mali ya Kiroho: (Dak. 8)

    • Zab 119:71—Kuteseka kuna faida gani? (w06 1/9 uku. 14 fu. 4)

    • Zab 119:96—Maneno “mwisho wa ukamilifu wote” yanamaanisha nini? (w06 1/9 uku. 14 fu. 5)

    • Usomaji wa Biblia wa juma hili unanifundisha nini juu ya Yehova?

    • Ni mambo gani ya usomaji wa juma hili ninaweza kutumia katika mahubiri?

  • Usomaji wa Biblia: (Isipite dak. 4) Zab 119:73-93

TUJITOE KABISA KATIKA KAZI YA KUHUBIRI

  • Tujitayarishe ili Kutolea Watu Vichapo Katika Mwezi Huu: ( Dak. 15) Mazungumuzo. Muangalie video zenye kuonyesha namna ya kuanzisha mazungumuzo, kisha muzungumuzie mambo makubwa. Uwatie moyo wahubiri waandike namna wanaweza pia kuanzisha mazungumuzo.

MAISHA YA MUKRISTO

  • Wimbo 69

  • “Tutafanya Nini Kama Mutoto Ndiye Anatukaribisha?”: (Dak. 5) Hotuba.

  • Mahitaji ya Kutaniko: (Dak. 10) Ikiwa munapenda munaweza kuzungumuzia mambo yenye mumejifunza katika Kitabu cha Mwaka. (yb16 59-62)

  • Funzo la Biblia la Kutaniko: (Dak. 30) ia sura ya 23 fu. 15-29, mambo ya kukumbuka kwenye uku. 204

  • Kurudilia kwa kifupi mambo yenye mumejifunza, na kuzungumuzia kwa kifupi mambo ya kujifunza juma lenye kufuata (Dak. 3)

  • Wimbo 13 na Sala