Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

UTAJIRI WA NENO YA MUNGU

Onyesha Kama Unamupenda Yehova Sana

Onyesha Kama Unamupenda Yehova Sana

[Muangalie video Utangulizi wa Kitabu cha Ayubu.]

Shetani alisema kama Yobu alimutumikia Yehova na kumupenda juu alitafuta faida zake mwenyewe (Yob 1:8-11; w18.02 uku. 6 fu. 16-17)

Shetani anasema kama hatumupende Yehova kutoka mu moyo (Yob 2:4, 5; w19.02 uku. 5 fu. 10)

Yehova anapatia kila mumoja wetu nafasi ya kuonyesha kama Shetani ni muongo. (Mez 27:11) Tunaweza kuonyesha kama tunamupenda Yehova kwa kuweka ibada yake pa nafasi ya kwanza mu maisha yetu mu kila hali, ikuwe ya muzuri ao ya mubaya.