Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

UTAJIRI WA NENO YA MUNGU

Upendo Mushikamanifu wa Mungu Unatulinda ili Shetani Asitudanganye

Upendo Mushikamanifu wa Mungu Unatulinda ili Shetani Asitudanganye

Shetani anapenda watu waamini kama Yehova njo analetaka mambo ya mubaya (Yob 8:4)

Anapenda tuamini kama Yehova haangaike ikiwa tuko waaminifu kwake ao hapana (Yob 9:20-22; w15 1/7 uku. 12 fu. 3)

Upendo mushikamanifu wa Yehova unatusaidia kuepuka uongo wa Shetani na kuendelea kuwa washikamanifu (Yob 10:12; Zb 32:7, 10; w21.11 uku. 6 fu. 14)

PIMA KUFANYA HIVI: Ili uendelee kuwa nguvu wakati wa majaribu, tambua ni mu njia gani mbalimbali Yehova iko nakuonyesha upendo mushikamanifu, uziandike, na uzisome mara kwa mara.