Tarehe 25/9–1/10
ESTA 9-10
Wimbo 102 na Sala
Maneno ya Utangulizi (Dak. 1)
UTAJIRI WA NENO YA MUNGU
“Alitumia Mamlaka Yake kwa Ajili ya Wengine”: (Dak. 10)
Mali ya Kiroho: (Dak. 10)
Est 9:15, 16—Juu ya nini Wayahudi hawakuchukua kitu yoyote? (w06-SW 1/3 uku. 11 fu. 4)
Mu usomaji wa Biblia wa hii juma, ni mali gani ya kiroho yenye ungependa kuzungumuzia juu ya Yehova, juu ya kazi ya kuhubiri, ao jambo ingine?
Usomaji wa Biblia: (Dak. 4) Est 9:1-14 (th somo ya 11)
TUJITOE KABISA MU KAZI YA KUHUBIRI
Kumutembelea Mutu Mara ya Kwanza: (Dak. 2) Zungumuzia habari yenye kuwa ku sehemu Namna ya Kuanzisha Mazungumuzo. (th somo ya 6)
Kumurudilia Mutu: (Dak. 5) Anza na sehemu Namna ya Kuanzisha Mazungumuzo. Umutolee broshua Furahia Maisha Milele! na umuonyeshe namna tunafanyaka funzo ya Biblia. (th somo ya 13)
Funzo ya Biblia: (Dak. 5) lff somo ya 12 utangulizi wa Tujifunze Mambo Mingi Zaidi na nukta ya 4 (th somo ya 19)
MAISHA YA MUKRISTO
“Wachungaji Wenye Wanasaidia Watu wa Yehova”: (Dak. 15) Mazungumuzo na video.
Funzo ya Biblia ya Kutaniko: (Dak. 30) lff somo ya 59 nukta ya 1-5
Maneno ya Kumalizia (Dak. 3)
Wimbo 55 na Sala