UTAJIRI WA NENO YA MUNGU
Epuka Habari za Uongo
Mambo yenye Elifazi alisema ingeonekana kuwa ya kweli kwa sababu ya miaka yake na hekima yake (Yob 4:1;it-1-F uku. 725 fu. 17)
Alichochewa na roho waovu ili kusema mambo yenye ingemuvunja Yobu moyo (Yob 4:14-16; w05-SW 15/9 uku. 26 fu. 2)
Mambo fulani yenye Elifazi alisema ilikuwa ya kweli lakini aliitumia mubaya (Yob 4:19; w10-SW 15/2 uku. 19 fu. 5-6)
Ulimwengu wa Shetani unaendelea kueneza habari zenye zinaweza kuumiza.
UJIULIZE HIVI: ‘Ninakamata wakati wa kuchunguza habari zenye ninapata?’—mrt 32 fu. 13-17.