Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

Tarehe 2-8/9

ZABURI 79-81

Tarehe 2-8/9

Wimbo 29 na Sala | Maneno ya Utangulizi (Dak. 1)

UTAJIRI WA NENO YA MUNGU

1. Penda Jina Yenye Utukufu ya Yehova

(Dak. 10)

Acha kufanya mambo yote yenye haimuheshimishe Yehova (Zb 79:9; w17.02 uku. 9 fu. 5)

Uitie jina ya Yehova (Zb 80:18; ijwbv-SW 3 fu. 4-5)

Yehova anapatiaka zawabu wale wenye kuonyesha kama wanapenda jina yake kwa kumutii (Zb 81:13, 16)

Juu mwenendo wetu utukuze jina ya Yehova, tunapaswa kujitambulisha kwa wengine

kuwa tuko Mashahidi wake

2. Mali ya Kiroho

(Dak. 10)

  • Zb 80:1—Juu ya nini wakati fulani jina ya Yosefu ilitumiwa juu ya kuzungumuzia makabila yote ya Israeli? (it-2 uku. 53 fu. 3-4)

  • Mu usomaji wa Biblia wa hii juma, ulipata mali gani ya kiroho yenye ungependa kuzungumuzia?

3. Usomaji wa Biblia

TUJITOE KABISA MU KAZI YA KUHUBIRI

4. Kuanzisha Mazungumuzo

(Dak. 1) MAHUBIRI YA NYUMBA KWA NYUMBA. Anzisha funzo ya Biblia. (lmd somo ya 4 nukta ya 4)

5. Kuanzisha Mazungumuzo

(Dak. 3) MAHUBIRI YA WAKATI WOWOTE. Anzisha funzo ya Biblia. (lmd somo ya 4 nukta ya 3)

6. Kuanzisha Mazungumuzo

(Dak. 2) MAHUBIRI YA MAHALI PA WATU WENGI. Anzisha funzo ya Biblia. (lmd somo ya 3 nukta ya 3)

7. Kuendelesha Mazungumuzo

(Dak. 5) MAHUBIRI YA NYUMBA KWA NYUMBA. Anzisha funzo ya Biblia na mutu mwenye kupendezwa mwenye alikatalaka kujifunza zamani. (lmd somo ya 8 nukta ya 3)

MAISHA YA MUKRISTO

Wimbo 10

8. “Watatakasa Jina Langu”

(Dak. 15) Mazungumuzo.

Shetani alianza kuchafua jina ya Yehova mu bustani ya Edeni. Kuanzia pale, wanadamu wote na malaika wote wanapaswa kuamua kama watatetea jina ya Yehova ao hapana.

Fikiria hii mambo kidogo ya uongo kati ya mambo mingi yenye Shetani iko natangaza kuhusu Yehova. Anamushitaki Yehova kuwa mutawala mukali na mwenye hana upendo. (Mwa 3:1-6; Yob 4:18, 19) Anasema kama watumishi wa Yehova hawamupende kabisa. (Yob 2:4, 5) Anachochea hata watu wengi waamini kama haiko Yehova njo aliumba hii ulimwengu ya muzuri.—Ro 1:20, 21.

Hii mambo yote ya uongo inakufanya ujisikie namna gani? Bila shaka, inakuchochea umutetee Yehova! Na Yehova alijua kama watu wake wangetakasa jina yake. (Linganisha na Isaya 29:23.) Sasa, namna gani unaweza kuitakasa?

  • Saidia wengine wafikie kumujua na kumupenda Yehova. (Yoh 17:25, 26) Ukuwe tayari kuonyesha mambo yenye kuhakikisha kama Yehova iko, na ufundishe wengine kuhusu sifa zake za muzuri.—Isa 63:7

  • Umupende Yehova kwa moyo wako wote. (Mt 22:37, 38) Utii sheria za Yehova, hapana tu juu zinakuleteaka faida, lakini juu unapenda kumufurahisha Yehova.—Mez 27:11

Muangalie VIDEO Upendo Haushindwe Hata Kidogo . . . Hata Kama Sheria na Kanuni za Mungu Haziheshimiwe Kwenye Masomo. Kisha uliza wasikilizaji:

  • Namna gani Ariel na Diego walitetea jina ya Yehova?

  • Nini njo iliwachochea kumutetea Yehova?

  • Namna gani unaweza kuiga mufano wao?

9. Funzo ya Biblia ya Kutaniko

Maneno ya Kumalizia (Dak. 3) | Wimbo 90 na Sala