Tarehe 2-8/9
ZABURI 79-81
Wimbo 29 na Sala | Maneno ya Utangulizi (Dak. 1)
1. Penda Jina Yenye Utukufu ya Yehova
(Dak. 10)
Acha kufanya mambo yote yenye haimuheshimishe Yehova (Zb 79:9; w17.02 uku. 9 fu. 5)
Uitie jina ya Yehova (Zb 80:18; ijwbv-SW 3 fu. 4-5)
Yehova anapatiaka zawabu wale wenye kuonyesha kama wanapenda jina yake kwa kumutii (Zb 81:13, 16)
2. Mali ya Kiroho
(Dak. 10)
-
Zb 80:1—Juu ya nini wakati fulani jina ya Yosefu ilitumiwa juu ya kuzungumuzia makabila yote ya Israeli? (it-2 uku. 53 fu. 3-4)
-
Mu usomaji wa Biblia wa hii juma, ulipata mali gani ya kiroho yenye ungependa kuzungumuzia?
3. Usomaji wa Biblia
(Dak. 4) Zb 79:1–80:7 (th somo ya 10)
4. Kuanzisha Mazungumuzo
(Dak. 1) MAHUBIRI YA NYUMBA KWA NYUMBA. Anzisha funzo ya Biblia. (lmd somo ya 4 nukta ya 4)
5. Kuanzisha Mazungumuzo
(Dak. 3) MAHUBIRI YA WAKATI WOWOTE. Anzisha funzo ya Biblia. (lmd somo ya 4 nukta ya 3)
6. Kuanzisha Mazungumuzo
(Dak. 2) MAHUBIRI YA MAHALI PA WATU WENGI. Anzisha funzo ya Biblia. (lmd somo ya 3 nukta ya 3)
7. Kuendelesha Mazungumuzo
(Dak. 5) MAHUBIRI YA NYUMBA KWA NYUMBA. Anzisha funzo ya Biblia na mutu mwenye kupendezwa mwenye alikatalaka kujifunza zamani. (lmd somo ya 8 nukta ya 3)
Wimbo 10
8. “Watatakasa Jina Langu”
(Dak. 15) Mazungumuzo.
Shetani alianza kuchafua jina ya Yehova mu bustani ya Edeni. Kuanzia pale, wanadamu wote na malaika wote wanapaswa kuamua kama watatetea jina ya Yehova ao hapana.
Fikiria hii mambo kidogo ya uongo kati ya mambo mingi yenye Shetani iko natangaza kuhusu Yehova. Anamushitaki Yehova kuwa mutawala mukali na mwenye hana upendo. (Mwa 3:1-6; Yob 4:18, 19) Anasema kama watumishi wa Yehova hawamupende kabisa. (Yob 2:4, 5) Anachochea hata watu wengi waamini kama haiko Yehova njo aliumba hii ulimwengu ya muzuri.—Ro 1:20, 21.
Hii mambo yote ya uongo inakufanya ujisikie namna gani? Bila shaka, inakuchochea umutetee Yehova! Na Yehova alijua kama watu wake wangetakasa jina yake. (Linganisha na Isaya 29:23.) Sasa, namna gani unaweza kuitakasa?
-
Saidia wengine wafikie kumujua na kumupenda Yehova. (Yoh 17:25, 26) Ukuwe tayari kuonyesha mambo yenye kuhakikisha kama Yehova iko, na ufundishe wengine kuhusu sifa zake za muzuri.—Isa 63:7
-
Umupende Yehova kwa moyo wako wote. (Mt 22:37, 38) Utii sheria za Yehova, hapana tu juu zinakuleteaka faida, lakini juu unapenda kumufurahisha Yehova.—Mez 27:11
Muangalie VIDEO Upendo Haushindwe Hata Kidogo . . . Hata Kama Sheria na Kanuni za Mungu Haziheshimiwe Kwenye Masomo. Kisha uliza wasikilizaji:
-
Namna gani Ariel na Diego walitetea jina ya Yehova?
-
Nini njo iliwachochea kumutetea Yehova?
-
Namna gani unaweza kuiga mufano wao?
9. Funzo ya Biblia ya Kutaniko
(Dak. 30) bt sura ya 15 fu. 1-7 na utangulizi wa sehemu ya 6