Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

Tarehe 21-27/10

ZABURI 100-102

Tarehe 21-27/10

Wimbo 37 na Sala | Maneno ya Utangulizi (Dak. 1)

UTAJIRI WA NENO YA MUNGU

1. Onyesha Shukrani Juu ya Upendo Mushikamanifu wa Yehova

(Dak. 10)

Fanya upendo wako kwa Yehova ukuwe nguvu (Zb 100:5; w23.03 uku. 12 fu. 18-19)

Epuka mambo yenye inaweza kuharibu urafiki wako pamoya na Yehova (Zb 101:2, 3; w23.02 uku. 17 fu. 10)

Achana na wale wenye kumuzarau Yehova na tengenezo yake (Zb 101:5; w11 15/7 uku. 16 fu. 7-8)

UJIULIZE, ‘Namna yenye niko natumia site za Enternete za kupashana habari iko naharibu uhusiano wangu pamoya na Yehova?’

2. Mali ya Kiroho

(Dak. 10)

  • Zb 102:6—Juu ya nini mwandikaji wa zaburi alijilinganisha na mwari? (it-2 uku. 522)

  • Mu usomaji wa Biblia wa hii juma, ulipata mali gani ya kiroho yenye ungependa kuzungumuzia?

3. Usomaji wa Biblia

TUJITOE KABISA MU KAZI YA KUHUBIRI

4. Kuanzisha Mazungumuzo

(Dak. 3) NYUMBA KWA NYUMBA. (lmd somo ya 2 nukta ya 3)

5. Kuendelesha Mazungumuzo

(Dak. 5) NYUMBA KWA NYUMBA. Anzisha funzo ya Biblia. (lmd somo ya 9 nukta ya 4)

6. Kufasiria Mambo Yenye Unaamini

(Dak. 4) Onyesho. ijwbq 129—Kichwa: Biblia Imebadilishwa ao Kugeuzwa? (th somo ya 8)

MAISHA YA MUKRISTO

Wimbo 137

7. ‘Nashikamana na Weye na Weye Unanishika’

(Dak. 15)

Mazungumuzo. Muangalie VIDEO. Kisha uliza wasikilizaji:

  • Namna gani Ana alionyesha upendo mushikamanifu?

  • Namna gani tunaweza kuiga mufano wake?

8. Funzo ya Biblia ya Kutaniko

Maneno ya Kumalizia (Dak. 3) | Wimbo 96 na Sala