Tarehe 21-27/10
ZABURI 100-102
Wimbo 37 na Sala | Maneno ya Utangulizi (Dak. 1)
1. Onyesha Shukrani Juu ya Upendo Mushikamanifu wa Yehova
(Dak. 10)
Fanya upendo wako kwa Yehova ukuwe nguvu (Zb 100:5; w23.03 uku. 12 fu. 18-19)
Epuka mambo yenye inaweza kuharibu urafiki wako pamoya na Yehova (Zb 101:2, 3; w23.02 uku. 17 fu. 10)
Achana na wale wenye kumuzarau Yehova na tengenezo yake (Zb 101:5; w11 15/7 uku. 16 fu. 7-8)
UJIULIZE, ‘Namna yenye niko natumia site za Enternete za kupashana habari iko naharibu uhusiano wangu pamoya na Yehova?’
2. Mali ya Kiroho
(Dak. 10)
Zb 102:6—Juu ya nini mwandikaji wa zaburi alijilinganisha na mwari? (it-2 uku. 522)
Mu usomaji wa Biblia wa hii juma, ulipata mali gani ya kiroho yenye ungependa kuzungumuzia?
3. Usomaji wa Biblia
(Dak. 4) Zb 102:1-28 (th somo ya 12)
4. Kuanzisha Mazungumuzo
(Dak. 3) NYUMBA KWA NYUMBA. (lmd somo ya 2 nukta ya 3)
5. Kuendelesha Mazungumuzo
(Dak. 5) NYUMBA KWA NYUMBA. Anzisha funzo ya Biblia. (lmd somo ya 9 nukta ya 4)
6. Kufasiria Mambo Yenye Unaamini
(Dak. 4) Onyesho. ijwbq 129—Kichwa: Biblia Imebadilishwa ao Kugeuzwa? (th somo ya 8)
Wimbo 137
7. ‘Nashikamana na Weye na Weye Unanishika’
(Dak. 15)
Mazungumuzo. Muangalie VIDEO. Kisha uliza wasikilizaji:
Namna gani Ana alionyesha upendo mushikamanifu?
Namna gani tunaweza kuiga mufano wake?
8. Funzo ya Biblia ya Kutaniko
(Dak. 30) bt sura ya 17 fu. 1-7