Tarehe 23-29/9
ZABURI 88-89
Wimbo 22 na Sala | Maneno ya Utangulizi (Dak. 1)
1. Utawala wa Yehova Ni wa Muzuri Zaidi
(Dak. 10)
Utawala wa Yehova utaleta haki ya kweli (Zb 89:14; w17.06 uku. 28 fu. 5)
Utawala wa Yehova utaleta furaha ya kweli (Zb 89:15, 16; w17.06 uku. 29 fu. 10-11)
Utawala wa Yehova utadumu milele (Zb 89:34-37; w14 15/10 uku. 10 fu. 14)
2. Mali ya Kiroho
(Dak. 10)
-
Zb 89:37—Kuko tofauti gani kati ya uaminifu na ushikamanifu? (cl-SW uku. 281 fu. 4-5)
-
Mu usomaji wa Biblia wa hii juma, ulipata mali gani ya kiroho yenye ungependa kuzungumuzia?
3. Usomaji wa Biblia
(Dak. 4) Zb 89:1-24 (th somo ya 11)
4. Kuanzisha Mazungumuzo
(Dak. 3) MAHUBIRI YA MAHALI PA WATU WENGI. Anzisha funzo ya Biblia na mutu mwenye hakukomalia mu dini ya Kikristo. (lmd somo ya 5 nukta ya 5)
5. Kuendelesha Mazungumuzo
(Dak. 4) NYUMBA KWA NYUMBA. Onyesha mwenye-nyumba namna tunajifunzaka Biblia na watu. (th somo ya 9)
6. Kufasiria Mambo Yenye Unaamini
(Dak. 5) Hotuba. ijwbq 181—Kichwa: Biblia Inazungumuzia Mambo Gani? (th somo ya 2)
Wimbo 94
7. Kanuni za Yehova Ni za Muzuri Zaidi
(Dak. 10) Mazungumuzo.
Watu wengi wanasemaka kama kanuni za Yehova kuhusu ngono na ndoa hazifae na kama ni za zamani na hazituhusu tena leo. Unakuwaka hakika kama kufuata kanuni za Yehova kutakuletea faida kila mara?—Isa 48:17, 18; Ro 12:2.
-
Juu ya nini hatupaswe kutumainia kanuni za ulimwengu kuhusu mwenendo? (Yer 10:23; 17:9; 2Ko 11:13-15; Efe 4:18, 19)
-
Juu ya nini tunapaswa kutumainia kanuni za Yehova kuhusu mwenendo? (Yoh 3:16; Ro 11:33; Tit 1:2)
Biblia inasema kama wale wenye hawatii sheria za Mungu “hawatariti Ufalme wa Mungu.” (1Ko 6:9, 10) Lakini ile tu njo sababu yenye inapaswa kutuchochea kufuata kanuni za Mungu?
Muangalie VIDEO Sababu Gani Naamini?—Kufuata Kanuni za Mungu Kuliko Zangu. Kisha uliza wasikilizaji:
-
Namna gani kanuni za Mungu kuhusu mwenendo zinatulindaka?
8. Mahitaji ya Kutaniko
(Dak. 5)
9. Funzo ya Biblia ya Kutaniko
(Dak. 30) bt sura ya 15 fu. 15-20