Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

Tarehe 9-15/9

ZABURI 82-84

Tarehe 9-15/9

Wimbo 80 na Sala | Maneno ya Utangulizi (Dak. 1)

UTAJIRI WA NENO YA MUNGU

Mutoto mwanaume wa Kora iko naangalia chicha ya ndege wenye kuitwa mbaruwayu mu kiwanja ya hekalu

1. Furahia Mapendeleo Yenye Uko Nayo

(Dak. 10)

Tunaonaka utumishi wetu kuwa wa maana sana (Zb 84:1-3; wp16.6 uku. 8 fu. 2-3)

Furahia migao yenye uko nayo kuliko kukazia akili migao yenye unapendaka kuwa nayo (Zb 84:10; w08-SW 15/7 uku. 30 fu. 3-4)

Yehova anaonyeshaka wema wake kwa wale wenye kumutumikia kwa uaminifu (Zb 84:11; w20.01 uku. 17 fu. 12)

Kila mugao unakuwaka na baraka zake na pia magumu yake. Kama unakazia akili baraka, utafurahia mugao wako.

2. Mali ya Kiroho

(Dak. 10)

  • Zb 82:3—Ni kwa kiasi gani ni jambo ya maana sana mu kutaniko kuhangaikia mutoto “mwenye hana baba”? (it-2 uku. 459)

  • Mu usomaji wa Biblia wa hii juma, ulipata mali gani ya kiroho yenye ungependa kuzungumuzia?

3. Usomaji wa Biblia

TUJITOE KABISA MU KAZI YA KUHUBIRI

4. Kujitia pa Nafasi ya Mutu—Mambo Yenye Yesu Alifanya

(Dak. 7) Mazungumuzo. Muangalie VIDEO, na kisha muzungumuzie lmd somo ya 9 nukta ya 1-2.

5. Kujitia pa Nafasi ya Mutu—Umuige Yesu

(Dak. 8) Mazungumuzo yenye inategemea lmd somo ya 9 nukta ya 3-5 na “Ona Pia.”

MAISHA YA MUKRISTO

Wimbo 57

6. Mahitaji ya Kutaniko

(Dak. 15)

7. Funzo ya Biblia ya Kutaniko

Maneno ya Kumalizia (Dak. 3) | Wimbo 130 na Sala