Utangulizi
TUNAWEZA KUPATA WAPI MASHAURI YA MUZURI ILI KUWA NA MAISHA YENYE FURAHA?
Biblia inasema hivi: “Wenye furaha ni wale wasio na kosa katika njia yao.”—Zaburi 119:1.
Habari saba zenye kuwa katika gazeti hili zinazungumuzia kanuni zenye zimeonekana sikuzote kuwa zenye faida na ambazo zinasaidia sana watu ili wakuwe na maisha yenye furaha.