AMUKA! Mwezi wa 4, 2015 | Ni Mubaya Kupatia Mutoto Malipizi?

Wazazi wenye wanataka kufundisha watoto tabia ya muzuri wanaonekana kuwa wanatenda tofauti na namna watu wengine wanafanya. Ni nini ilifanya mambo yakuwe hivi?

HABARI KUBWA

Ni Mubaya Kupatia Mutoto Malipizi?

Inawezekana kuwa leo wazazi wanaendelea kutumikisha mambo yenye watu wenye elimu walisema katika miaka ya 1960?

HABARI KUBWA

Malipizi Yenye Kuleta Matokeo Mazuri

Kanuni tano za Biblia zinatoa muongozo wa kutumainika kwa ajili ya familia.

INCHI NA WATU

Kutembelea Inchi ya Honduras

Ona maelezo mafupi juu ya desturi za watu wa inchi hii ya Amerika ya Kati.

MUSAADA KWA FAMILIA

Namna ya Kupambana na Hali ya Kujisikia Kuwa Peke Yako

Kujisikia kila mara kuwa peke yako ni hatari kwa afya yako; ni kama vile kuvuta tumbako 15 kila siku. Namna unaweza kuepuka hali ya kujisikia kuwa umeachwa na hali ya kujisikia kuwa peke yako?

MAWAZO YA BIBLIA

Wanyama

Watu wanapaswa kutendea wanyama namna gani?

Unatumia Vyombo vya Kielektroniki kwa Hekima?

Ili ujue, jibia maulizo haya mepesi yenye yatakusaidia kujichunguza.

KITU HIKI KILIJIFANYA CHENYEWE?

Uwezo wa Ndevu za Pusi

Sababu gani wanasayansi wanapanga kutengeneza roboti zenye kuwa na vitu fulani vya kusaidia kutambua?

Usikose Pia Kusoma Habari Hizi

Ukuwe Tayari Kusamehe

Utamutendea namna gani mutu mwenye anakukosea?