MUNARA WA MULINZI—GAZETI YA FUNZO Mwezi wa 1, 2018

Gazeti hili liko na habari za kujifunza tarehe 26 Mwezi wa 2 mupaka tarehe 1 Mwezi wa 4, 2018.

THEY OFFERED THEMSELVES WILLINGLY

Walijitoa kwa Kujipendea​—Katika Madagaska

Soma juu ya wahubiri fulani wenye wamepanua utumishi wao ili kusaidia kueneza ujumbe wa Ufalme katika eneo kubwa la Madagaska.

‘Anamupatia Nguvu Mutu Aliyechoka’

Kadiri mwisho unakaribia, tunaweza kutazamia kama mikazo ya maisha itaongezeka. Andiko letu la mwaka wa 2018 linatukumbusha kama tunapaswa kumutegemea Yehova ili atupatie nguvu.

Ukumbusho Unaunganisha Watu wa Mungu

Ni katika njia gani fulani Ukumbusho unatia nguvu umoja wa watu Mungu? Ukumbusho wa mwisho utafanywa wakati?

Sababu Gani Umutolee Ule Mwenye Kuwa na Kila Kitu?

Njia moja yenye tunatumia ili kuonyesha upendo wetu kwa Mungu ni kwa kumutolea. Namna gani tunafaidika wakati tunamuheshimu Yehova kwa vitu vyetu vya maana?

Ni Upendo wa Aina Gani Wenye Kuleta Furaha ya Kweli?

Namna gani kupenda Mungu kunatofautiana na upendo wenye kuzungumuziwa kwenye 2?Timotheo 3:2-4? Majibu yanaweza kutusaidia kupata furaha ya kweli na kutosheka.

Unaona tofauti yenye kuwa kati ya watu?

Kuko tofauti gani kati ya tabia zenye kutambulisha watu wa siku za mwisho na sifa zenye watu wa Mungu wanaonyesha?

Ulijua?

Waisraeli wa zamani walitumia kabisa kanuni za Sheria ya Musa ili kumaliza matatizo ya kila siku ya kukosa kuelewana?