MUNARA WA MULINZI—GAZETI YA FUNZO Mwezi wa 11, 2017

Gazeti hili liko na habari za kujifunza tarehe 25 Mwezi wa 12, 2017 mupaka tarehe 28 Mwezi wa 1, 2018.

Imba kwa Sauti Yenye Shangwe!

Ikiwa unasikia haya ya kuimba pamoja na kutaniko, namna gani unaweza kumaliza woga na kutumia sauti yako ili kumusifu Yehova?

Unamukimbilia Yehova?

Mupango wa miji ya makimbilio katika Israeli ya zamani unatufundisha juu ya namna Mungu anasamehe.

Uige Haki na Rehema ya Yehova

Namna gani miji ya makimbilio inaonyesha rehema ya Yehova? Inatufundisha nini juu ya namna anaona uzima? Namna gani inaonyesha haki yake kamilifu?

Mutu Mwenye Kuonyesha “Ukarimu Atabarikiwa”

Tunaweza kutumia wakati wetu, nguvu zetu, na mambo mengine ili kutegemeza kazi ya kuhubiri Ufalme.

Kataa Mawazo ya Ulimwengu

Sisi wote tuko na lazima ya kuzuia mawazo yenye kuenea sana kukengeusha akili yetu. Fikiria mifano tano ya mawazo ya ulimwengu.

Usiache Jambo Lolote Likuzuie Kupata Zawadi

Kisha kukumbusha Wakristo wenzake juu ya tumaini lao la ajabu, mutume Paulo aliwatolea mashauri fulani yenye upendo.

Namna Gani Unaweza Kuzoea Kutaniko Lako la Mupya?

Ikiwa unapaswa kubadilisha kutaniko la mupya, unaweza kuwa na wasiwasi. Nini inaweza kukusaidia kuzoea?