Habari Zenye Zilizungumuziwa Katika Munara wa Mulinzi 2017
Inaonyesha gazeti ambamo habari inapatikana
BIBLIA
BIBLIA INABADILISHA MAISHA YA WATU
HABARI JUU YA MAISHA YA WATU
Kufanya Mambo Yenye Yehova Anaomba Kunaleta Baraka (O. Matthews), 10
Kutembea Pamoja na Watu Wenye Hekima Kumeniletea Faida (W. Samuelson), 03
Kuvumilia Wakati wa Magumu Kunaleta Baraka (P. Sivulsky), 08
Kuwa Kiziwi Hakunizuie Kufundisha Wengine (W. Markin), 05
Niliazimia Kuwa Askari wa Kristo (D. Psarras), 04
Nimebarikiwa kwa Kutumika Pamoja na Wanaume Wenye Kukomaa Kiroho (D. Sinclair), 09
Ninaacha Vitu Nyuma ili Kumufuata Bwana (F. Fajardo), 12
Tuliona Katika Njia Nyingi Fazili za Mungu Zenye Hatustahili (D. Guest), 02
HABARI ZA KUJIFUNZA
‘Amani ya Mungu . . . Inazidi Fikira Zote,’ 08
Heshimia Wale Wenye Kustahili Heshima, 03
Iga Huruma ya Yehova, 09
Imba kwa Sauti Yenye Shangwe! 11
Kataa Mawazo ya Ulimwengu, 11
Kaza Macho Yako juu ya Jambo la Maana, 06
Kaza Moyo Wako juu ya Hazina za Kiroho, 06
‘Kile Unachoweka Naziri, Timiza,’ 04
Komalisha Sifa ya Kujizuia, 09
Kusudi la Yehova Litatimia! 02
Kweli Hailete, “Amani, Bali Upanga,” 10
Mambo Hayo Uwapatie Wanaume Waaminifu, 01
Maono ya Zekaria—Yanakuhusu Namna Gani, 10
‘Muamuzi wa Dunia Yote’ Anafanya Sikuzote Mambo Yenye Kuwa Sawa, 04
‘Mulie Pamoja na Watu Wanaolia,’ 07
‘Musifu Yah!’— Sababu Gani? 07
Na Atimize Mipango Yako Yote, 07
Namna ya Kusaidia Watoto wa “Wakaaji Wageni,” 05
Namna Tunavaa na Kulinda Utu Mupya, 08
Namna Tunavua na Kuepuka Kabisa Utu wa Zamani, 08
‘Neno la Mungu . . . Liko na Nguvu,’ 09
“Neno la Mungu Wetu Litadumu” Milele, 09
Ni Mambo Gani Hayatakuwa Tena Wakati Ufalme wa Mungu Utakuja? 04
“Ninajua Atafufuka,” 12
Ni Nani Anaongoza Watu wa Mungu Leo? 02
“Nina Tumaini kwa Mungu,” 12
Onyesha Imani—Kamata Maamuzi Yenye Hekima! 03
Roho Yako ya Kujitolea Imuletee Yehova Sifa! 04
Sababu Gani Sifa ya Kiasi Ingali ya Maana? 01
Tafuta Utajiri wa Kweli, 07
Taji na Magari ya Kukokotwa Vinawalinda, 10
“Tupendane . . . kwa Tendo na Kweli,” 10
Tusaidie “Wakaaji Wageni” ili ‘Wamutumikie Yehova kwa Furaha’ 05
Uige Haki na Rehema ya Yehova, 11
Uko Tayari Kungojea kwa Uvumilivu? 08
‘Ukuwe Hodari . . . na Utende,’ 09
‘Umutegemee Yehova na Ufanye Mema,’ 01
Umutumikie Yehova kwa Moyo Mukamilifu! 03
Unamukimbilia Yehova? 11
“Unanipenda Kuliko Hawa?” 05
Unaweza Kuendelea Kuwa Mwenye Kiasi Wakati wa Majaribu, 01
Unga Mukono Haki ya Yehova ya Kutawala! 06
Upendezwe Sana na Zawadi Yako ya Uhuru wa Kuchagua, 01
Usiache Jambo Lolote Likuzuie Kupata Zawadi, 11
Usiache Upendo Wako Upoe, 05
Utafuata Kanuni za Yehova juu ya Haki? 04
Utatia Moyo Wako Katika Mambo Yenye Kuandikwa? 03
Vijana—‘Muendelee Kufanyia Kazi Wokovu Wenu Wenyewe,’ 12
Wazazi—Musaidie Watoto Wenu Wakuwe na “Hekima kwa Ajili ya Wokovu,” 12
Yehova Anaongoza Watu Wake, 02
Yehova Anatufariji Katika Ziki Yetu Yote, 06
Zabihu ya Ukombozi—Zawadi “Kamilifu” Kutoka kwa Baba, 02
MAISHA NA SIFA ZA KIKRISTO
Baraka ya Kutoa, Na. 2
Kumaliza Kukosa Kuelewana na Kuendeleza Amani, 06
Kushinda Vita kwa Ajili ya Akili Yako, 07
Mawazo Yenye Kufaa Kuhusu Makosa, Na. 6
Noeli ni ya Wakristo? Na. 6
Upendo—Sifa ya Maana Sana, 08
Viongozi wa Dini za Kikristo Wanapaswa Kubaki Bila Kufunga Ndoa? Na. 2
Wakati Urafiki Uko Katika Hatari, 03
MAMBO MENGINE
‘Alimupendeza Mungu Vema’ (Enoko), Na. 1
Biblia Inasema Nini Juu ya Uzima na Kifo, Na. 4
“Busara Yako na Ibarikiwe!” (Abigaili), 06
Herufi ya Kiebrania Yenye Kuwa Ndogo Zaidi, Na. 4
Jina Lenye Kuwa Katika Biblia Linapatikana Kwenye Mutungi wa Zamani, 03
Kuko Siku Kutakuwa Amani Katika Dunia? Na. 5
Kuna siku kutakuwa haki ya kweli duniani? Na. 3
Kutoka Katika Utumwa, Na. 2
Mahangaiko, Na. 4
Malaika Wako Kabisa? Na. 5
Mateso, Na. 1
Mungu Alimuita ‘Binti ya Mufalme’ (Sara), Na. 5
Namna Gani Watu wa Wakati wa Zamani Walikuwa Wanawasha Moto Wakati Walikuwa Wanasafiri? 01
Namna Gayo Alisaidia Ndugu Zake, 05
Paradiso Duniani—Ndoto ao Jambo la Kweli? Na. 4
Sababu Gani Yesu Alihukumu Tabia ya Wayahudi ya Kufanya Viapo? 10
Tunaishi Katika “Siku za Mwisho”? Na. 2
Usiangalie Tu Sura ya Mutu, 06
Wafanya-Biashara Wenye Walikuwa Wanauzisha Wanyama Katika Hekalu Walikuwa ‘Wanyanganyi’? 06
Wapanda-Farasi Ine, Na. 3
‘Wewe Ni Mwanamuke Mwenye Sura Nzuri’ (Sara), Na. 3
Wakati Mupendwa Anakaribia Kufa kwa Sababu ya Ugonjwa Fulani, Na. 4
Yosefu wa Arimathea, 10
Zawadi ya Muzuri Kuliko Zote, Na. 6
MASHAHIDI WA YEHOVA
Furaha ya Kuishi Maisha Mepesi, 05
“Hakuna Barabara ya Mubaya Sana ao ya Murefu Sana” (Australia), 02
Kuzoea Kutaniko Lako la Mupya, 11
‘Mioyo Yetu Ilijaa Bidii na Upendo Kuliko Wakati Mwingine Wowote’ (mukusanyiko wa mwaka wa 1922), 05
Mutu Mwenye Kuonyesha “Ukarimu Atabarikiwa” (michango), 11
Tendo Moja la Wema wa Kikristo, 10
“Tutakuwa na Mukusanyiko Mwengine Wakati Gani?” (Meksiko), 08
Walijitoa kwa Kujipendea (dada wenye hawajaolewa), 01
Walijitoa Kwa Kujipendea Katika Uturuki, 07
MAULIZO YA WASOMAJI WETU
Kizazi chenye kuongoza kwa Masiya kilipitishwa tu kupitia haki ya kuwa muzaliwa wa kwanza? 12
Kuwa na silaha za kutumia risasi ili kujilinda kutokana na wanadamu wengine, 07
Sababu gani habari ya Mathayo na ya Luka juu ya maisha ya Yesu ya wakati alikuwa mutoto zinatofautiana? 08
Wakristo wenye kuoana wanaweza kuona ufundi wa kuweka chombo fulani katika tumbo la uzazi kuwa njia yenye kupatana na Maandiko ya kuzuia kupata mimba? 12
Yehova ‘hatawaacha ninyi mujaribiwe kupita munavyoweza kuhimili [kuvumilia]’ (1Kor 10:13), 02