Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

Habari Zenye Zilizungumuziwa Katika Munara wa Mulinzi 2017

Habari Zenye Zilizungumuziwa Katika Munara wa Mulinzi 2017

Inaonyesha gazeti ambamo habari inapatikana

BIBLIA

  • Elias Hutter na Biblia Zake za Kiebrania, Na. 4

  • Kupata Faida Wakati Unasoma Biblia, Na. 1

  • Sababu Gani Ni Nyingi? Na. 6

  • Tatizo la Kukosa Kuelewa, Na. 1

  • Ushuhuda Mwingine (Tatenai aliishi), Na. 3

BIBLIA INABADILISHA MAISHA YA WATU

  • Kwangu Mimi, Hakukuwa Mungu (A. Golec), Na. 5

  • Nilipenda Besiboli Kuliko Kitu Kingine! (S. Hamilton), Na. 3

  • Sikupenda Kufa! (Y. Quarrie), Na. 1

HABARI JUU YA MAISHA YA WATU

  • Kufanya Mambo Yenye Yehova Anaomba Kunaleta Baraka (O. Matthews), 10

  • Kutembea Pamoja na Watu Wenye Hekima Kumeniletea Faida (W. Samuelson), 03

  • Kuvumilia Wakati wa Magumu Kunaleta Baraka (P. Sivulsky), 08

  • Kuwa Kiziwi Hakunizuie Kufundisha Wengine (W. Markin), 05

  • Niliazimia Kuwa Askari wa Kristo (D. Psarras), 04

  • Nimebarikiwa kwa Kutumika Pamoja na Wanaume Wenye Kukomaa Kiroho (D. Sinclair), 09

  • Ninaacha Vitu Nyuma ili Kumufuata Bwana (F. Fajardo), 12

  • Tuliona Katika Njia Nyingi Fazili za Mungu Zenye Hatustahili (D. Guest), 02

HABARI ZA KUJIFUNZA

  • ‘Amani ya Mungu . . . Inazidi Fikira Zote,’ 08

  • Heshimia Wale Wenye Kustahili Heshima, 03

  • Iga Huruma ya Yehova, 09

  • Imba kwa Sauti Yenye Shangwe! 11

  • Kataa Mawazo ya Ulimwengu, 11

  • Kaza Macho Yako juu ya Jambo la Maana, 06

  • Kaza Moyo Wako juu ya Hazina za Kiroho, 06

  • ‘Kile Unachoweka Naziri, Timiza,’ 04

  • Komalisha Sifa ya Kujizuia, 09

  • Kusudi la Yehova Litatimia! 02

  • Kweli Hailete, “Amani, Bali Upanga,” 10

  • Mambo Hayo Uwapatie Wanaume Waaminifu, 01

  • Maono ya Zekaria​—Yanakuhusu Namna Gani, 10

  • ‘Muamuzi wa Dunia Yote’ Anafanya Sikuzote Mambo Yenye Kuwa Sawa, 04

  • ‘Mulie Pamoja na Watu Wanaolia,’ 07

  • ‘Musifu Yah!’​— Sababu Gani? 07

  • Na Atimize Mipango Yako Yote, 07

  • Namna ya Kusaidia Watoto wa “Wakaaji Wageni,” 05

  • Namna Tunavaa na Kulinda Utu Mupya, 08

  • Namna Tunavua na Kuepuka Kabisa Utu wa Zamani, 08

  • ‘Neno la Mungu . . . Liko na Nguvu,’ 09

  • “Neno la Mungu Wetu Litadumu” Milele, 09

  • Ni Mambo Gani Hayatakuwa Tena Wakati Ufalme wa Mungu Utakuja? 04

  • “Ninajua Atafufuka,” 12

  • Ni Nani Anaongoza Watu wa Mungu Leo? 02

  • “Nina Tumaini kwa Mungu,” 12

  • Onyesha Imani​—Kamata Maamuzi Yenye Hekima! 03

  • Roho Yako ya Kujitolea Imuletee Yehova Sifa! 04

  • Sababu Gani Sifa ya Kiasi Ingali ya Maana? 01

  • Tafuta Utajiri wa Kweli, 07

  • Taji na Magari ya Kukokotwa Vinawalinda, 10

  • “Tupendane . . . kwa Tendo na Kweli,” 10

  • Tusaidie “Wakaaji Wageni” ili ‘Wamutumikie Yehova kwa Furaha’ 05

  • Uige Haki na Rehema ya Yehova, 11

  • Uko Tayari Kungojea kwa Uvumilivu? 08

  • ‘Ukuwe Hodari . . . na Utende,’ 09

  • ‘Umutegemee Yehova na Ufanye Mema,’ 01

  • Umutumikie Yehova kwa Moyo Mukamilifu! 03

  • Unamukimbilia Yehova? 11

  • “Unanipenda Kuliko Hawa?” 05

  • Unaweza Kuendelea Kuwa Mwenye Kiasi Wakati wa Majaribu, 01

  • Unga Mukono Haki ya Yehova ya Kutawala! 06

  • Upendezwe Sana na Zawadi Yako ya Uhuru wa Kuchagua, 01

  • Usiache Jambo Lolote Likuzuie Kupata Zawadi, 11

  • Usiache Upendo Wako Upoe, 05

  • Utafuata Kanuni za Yehova juu ya Haki? 04

  • Utatia Moyo Wako Katika Mambo Yenye Kuandikwa? 03

  • Vijana​—‘Muendelee Kufanyia Kazi Wokovu Wenu Wenyewe,’ 12

  • Wazazi​—Musaidie Watoto Wenu Wakuwe na “Hekima kwa Ajili ya Wokovu,” 12

  • Yehova Anaongoza Watu Wake, 02

  • Yehova Anatufariji Katika Ziki Yetu Yote, 06

  • Zabihu ya Ukombozi​—Zawadi “Kamilifu” Kutoka kwa Baba, 02

MAISHA NA SIFA ZA KIKRISTO

  • Baraka ya Kutoa, Na. 2

  • Kumaliza Kukosa Kuelewana na Kuendeleza Amani, 06

  • Kushinda Vita kwa Ajili ya Akili Yako, 07

  • Mawazo Yenye Kufaa Kuhusu Makosa, Na. 6

  • Noeli ni ya Wakristo? Na. 6

  • Upendo​—Sifa ya Maana Sana, 08

  • Viongozi wa Dini za Kikristo Wanapaswa Kubaki Bila Kufunga Ndoa? Na. 2

  • Wakati Urafiki Uko Katika Hatari, 03

MAMBO MENGINE

  • ‘Alimupendeza Mungu Vema’ (Enoko), Na. 1

  • Biblia Inasema Nini Juu ya Uzima na Kifo, Na. 4

  • “Busara Yako na Ibarikiwe!” (Abigaili), 06

  • Herufi ya Kiebrania Yenye Kuwa Ndogo Zaidi, Na. 4

  • Jina Lenye Kuwa Katika Biblia Linapatikana Kwenye Mutungi wa Zamani, 03

  • Kuko Siku Kutakuwa Amani Katika Dunia? Na. 5

  • Kuna siku kutakuwa haki ya kweli duniani? Na. 3

  • Kutoka Katika Utumwa, Na. 2

  • Mahangaiko, Na. 4

  • Malaika Wako Kabisa? Na. 5

  • Mateso, Na. 1

  • Mungu Alimuita ‘Binti ya Mufalme’ (Sara), Na. 5

  • Namna Gani Watu wa Wakati wa Zamani Walikuwa Wanawasha Moto Wakati Walikuwa Wanasafiri? 01

  • Namna Gayo Alisaidia Ndugu Zake, 05

  • Paradiso Duniani​—Ndoto ao Jambo la Kweli? Na. 4

  • Sababu Gani Yesu Alihukumu Tabia ya Wayahudi ya Kufanya Viapo? 10

  • Shauri la Paulo la Kuchelewesha Safari (Mdo 27), Na. 5

  • Tunaishi Katika “Siku za Mwisho”? Na. 2

  • Usiangalie Tu Sura ya Mutu, 06

  • Wafanya-Biashara Wenye Walikuwa Wanauzisha Wanyama Katika Hekalu Walikuwa ‘Wanyanganyi’? 06

  • Wapanda-Farasi Ine, Na. 3

  • ‘Wewe Ni Mwanamuke Mwenye Sura Nzuri’ (Sara), Na. 3

  • Wakati Mupendwa Anakaribia Kufa kwa Sababu ya Ugonjwa Fulani, Na. 4

  • Yosefu wa Arimathea, 10

  • Zawadi ya Muzuri Kuliko Zote, Na. 6

MASHAHIDI WA YEHOVA

  • Furaha ya Kuishi Maisha Mepesi, 05

  • “Hakuna Barabara ya Mubaya Sana ao ya Murefu Sana” (Australia), 02

  • Kuzoea Kutaniko Lako la Mupya, 11

  • ‘Mioyo Yetu Ilijaa Bidii na Upendo Kuliko Wakati Mwingine Wowote’ (mukusanyiko wa mwaka wa 1922), 05

  • Mutu Mwenye Kuonyesha “Ukarimu Atabarikiwa” (michango), 11

  • Tendo Moja la Wema wa Kikristo, 10

  • “Tutakuwa na Mukusanyiko Mwengine Wakati Gani?” (Meksiko), 08

  • Walijitoa kwa Kujipendea (dada wenye hawajaolewa), 01

  • Walijitoa Kwa Kujipendea Katika Uturuki, 07

MAULIZO YA WASOMAJI WETU

  • Kizazi chenye kuongoza kwa Masiya kilipitishwa tu kupitia haki ya kuwa muzaliwa wa kwanza? 12

  • Kuwa na silaha za kutumia risasi ili kujilinda kutokana na wanadamu wengine, 07

  • Sababu gani habari ya Mathayo na ya Luka juu ya maisha ya Yesu ya wakati alikuwa mutoto zinatofautiana? 08

  • Wakristo wenye kuoana wanaweza kuona ufundi wa kuweka chombo fulani katika tumbo la uzazi kuwa njia yenye kupatana na Maandiko ya kuzuia kupata mimba? 12

  • Yehova ‘hatawaacha ninyi mujaribiwe kupita munavyoweza kuhimili [kuvumilia]’ (1Kor 10:13), 02

YEHOVA

  • Analeta Mateso? Na. 1

  • Utakubali Zawadi ya Mungu Yenye Kuwa Kubwa Zaidi? Na. 2

YESU KRISTO

  • Mufano Kuhusu ‘Imbwa Wadogo’ Ulikuwa Matusi? Na. 5

  • Yesu Alifanana Kabisa Namna Gani? Na. 6