MUNARA WA MULINZI—GAZETI YA FUNZO Mwezi wa 2, 2018

Gazeti hili liko na habari za kujifunza tarehe 2 mupaka tarehe 29 Mwezi wa 4, 2018.

Uige Imani na Utii wa Noa, Danieli, na Ayubu

Wanaume hawa waaminifu walipambana na magumu kama yale yenye tunapambana nayo leo. Ni nini iliwasaidia waendelee kuwa washikamanifu?

Unamujua Yehova Kama Vile Noa, Danieli, na Ayubu Walimujua?

Namna gani wanaume hawa walifikia kumujua Mweza yote? Namna gani ujuzi huo uliwaletea faida? Namna gani tunaweza kukomalisha imani kama yao?

HABARI JUU YA MAISHA YA WATU

Kwa Yehova Mambo Yote Yanawezekana

Maneno yenye kufurahisha yenye yalisikiwa katika bisi yalibadilisha maisha ya bibi na bwana fulani katika Kirghizstan.

Kuwa Mutu wa Kiroho, Maana Yake Nini?

Biblia inazungumuzia mambo yenye kutambulisha ‘mutu wa kiroho’ na inamutofautisha na ‘mutu wa kimwili.’

Endelea Kukomaa Kiroho!

Haitoshi kuwa na ujuzi wa Biblia ili kuwa mutu wa kiroho. Tunapaswa kufanya nini ingine?

Shangwe​—Sifa Yenye Tunapata Kutoka kwa Mungu

Ikiwa unaona kuwa magumu ya kila siku yanakufanya upoteze shangwe yako, unaweza kufanya nini ili ukuwe tena na shangwe?

VITU VYA MAANA SANA VYA HISTORIA YETU

Hotuba za Watu Wote Zinaeneza Habari Njema Katika Irelandi

Ni nini ilimusadikisha Charles Taze Russell kama huko shamba lilikuwa “tayari na lenye kungojea kuvunwa”?