MUNARA WA MULINZI—GAZETI YA FUNZO Mwezi wa 4, 2016

Gazeti hili liko na habari za kujifunza tarehe 30 Mwezi wa 5 mupaka tarehe 26 Mwezi wa 6, 2016.

Tunakubaliwa na Mungu Ikiwa Tunabakia Waaminifu Kwake

Habari ya Yefta na binti yake yenye kupatikana katika Biblia inaweza kufundisha Wakristo mambo gani?

‘Muache Uvumilivu Ukamilishe Kazi Yake’

Ni nini iko katika hatari wakati unajaribiwa? Ni mifano gani ya watu wenye walionyesha uvumilivu yenye inaweza kukutia nguvu?

Sababu Gani Tunapaswa Kukusanyika Pamoja Ili Kuabudu?

Kuwa kwenye mikutano kunakusaidia wewe, kunasaidia wengine, na pia kunafurahisha Yehova. Namna gani?

Usijiingize Katika Mambo ya Politike ya Ulimwengu huu Wenye Kugawanyika

Mambo ine yanaweza kukusaidia ujitayarishe upambane na magumu yenye haukuwazia ya kukaza ujiingize katika mambo ya politike.

HABARI JUU YA MAISHA YA WATU

Watawa wa Zamani Wanakuwa Dada wa Kiroho

Ni nini iliwachochea waache makao ya watawa wanawake kisha kuacha dini ya Katoliki?

Kazi Yako ya Kuhubiri iko Kama Umande?

Namna gani kazi yako ya kuhubiri inaweza kutuliza, kutia nguvu, na kufanya uzima uendelee?