MUNARA WA MULINZI—GAZETI YA FUNZO Mwezi wa 6, 2016

Gazeti hili liko na habari za kujifunza tarehe 1 Mwezi wa 8 mupaka tarehe 28 Mwezi wa 8, 2016.

Tupendezwe na Yehova, Mufinyanzi Wetu

Namna gani Mungu anachagua watu wenye anafinyanga? Sababu gani anawafinyanga? Na anafanya hivyo namna gani?

Unamuacha Mufinyanzi Mukubwa Akufinyange?

Ni sifa gani zenye zitakufanya ukuwe mwenye kufinyangwa katika mikono ya Mungu?

‘Yehova Mungu Wetu Ni Yehova Mumoja’

Ni katika maana gani Mungu ni ‘mumoja,’ na namna gani tunaweza kumuabudu yeye tu?

Usiache Makosa ya Wengine Yakukwaze

Zamani, watumishi waaminifu wa Mungu walisema ao kufanya mambo fulani yenye yalikwaza wengine. Mifano hiyo ya Biblia inaweza kutufundisha nini?

Sifa Yenye Kumupendeza Mungu ya Maana Sana Kupita Alimasi

Kuwa na sifa hiyo ni jambo la maana sana.

Maulizo ya Wasomaji Wetu

Mwanaume mwenye kuwa na kidau cha wino na wanaume sita wenye kuwa na silaha za kuponda wenye kuzungumuziwa katika maono ya Ezekieli wanafananisha nani?