MUNARA WA MULINZI—GAZETI YA FUNZO Mwezi wa 4, 2020

Gazeti hili liko na habari za kujifunza tarehe 1/6–5/7/2020.

Shambulizi Kutoka Kaskazini!

Habari ya kujifunza ya 14: Tarehe 1-7/6/2020. Kuko sababu gani ine za muzuri zenye zinafanya ikuwe lazima tubadilishe namna tulikuwa tunaelewa sura ya 1 na ya 2 ya kitabu cha Yoeli?

Uko na Mawazo Gani Juu ya Watu wa Eneo Lako?

Habari ya kujifunza ya 15: Tarehe 8-14/6/2020. Ona namna tunaweza kumuiga Yesu na mutume Paulo kwa kuchunguza mambo yenye watu wenye tunakutana nao wanaamini, mambo yenye kuwapendeza, na kuona kama wanaweza kuwa wanafunzi wa Yesu.

Usikilize Wengine, Uwajue Muzuri, na Uwasikilie Huruma

Habari ya kujifunza ya 16: Tarehe 15-21/6/2020. Kwa upendo, Yehova alimusaidia Yona, Eliya, Hagari, na Loti. Ona namna tunaweza kumuiga Yehova katika namna tunatendea wengine.

“Nimewaita Ninyi Marafiki”

Habari ya kujifunza ya 17: Tarehe 22-28/6/2020. Haiko mwepesi kwetu kufanya urafiki wa nguvu na Yesu na kuendelea kuwa na urafiki huo. Lakini, tunaweza kushinda mambo yenye inatuzuia kufanya urafiki pamoja na Yesu.

‘Kimbia Mbio Mupaka Mwisho’

Habari ya kujifunza ya 18: Tarehe 29/6–5/7/2020. Namna gani sisi wote tunaweza kupata ushindi katika mbio ya uzima, hata kama tunapambana na matatizo ya uzee ao ugonjwa wenye kutufanya tukuwe wazaifu?