MUNARA WA MULINZI—GAZETI YA FUNZO Mwezi wa 9, 2016

Gazeti hili liko na habari za kujifunza tarehe 24 Mwezi wa 10 mupaka tarehe 27 Mwezi wa 11, 2016.

Usiache ‘Mikono Yako Iregee’

Namna gani Yehova anatia nguvu watumishi wake na kuwatia moyo? Namna gani wewe pia unaweza kufanya hivyo?

Endelea Kupigana ili Upate Baraka za Yehova

Watumishi wa Mungu wanapambana na vikwazo mbalimbali wakati wanaendelea kutafuta wakubaliwe naye. Lakini wanaweza kupata ushindi!

Muvalio Wako Unamutukuza Mungu?

Kanuni za biblia zinaweza kutuongoza.

Muvalio Wako Unamutukuza Mungu?

Kanuni za biblia zinaweza kutuongoza.

Vijana, Mutie Nguvu Imani Yenu

Unakazwa ili uamini mambo yenye kukubaliwa na watu wengi, kama vile mageuzi kuliko kuamini uumbaji? Ikiwa ni hivyo, habari hii inakuhusu kabisa.

Wazazi, Musaidie Watoto Wenu Wakuwe na Imani Yenye Nguvu

Unaona wakati fulani kuwa hawezi kabisa kupambana na tatizo hilo? Hatua ine zinaweza kukusaidia upate matokeo ya muzuri.

Maulizo ya Wasomaji Wetu

Andiko la Waebrania 4:12 linasema kama “neno la Mungu liko hai [liko na uzima] nalo lina nguvu.” Neno hilo ni nini?