MUNARA WA MULINZI—GAZETI YA FUNZO Mwezi wa 10, 2018
Gazeti hili liko na habari za kujifunza tarehe 3 mupaka tarehe 30 Mwezi wa 12, 2018.
1918—Kumepita Sasa Miaka Mia Moja
Vita ya Kwanza ya Ulimwengu ilikuwa ingali inapiganwa katika Ulaya, lakini matukio ya miezi ya kwanza-kwanza ya mwaka huo yalionekana kuwa yanatoa tumaini la muzuri kwa Wanafunzi wa Biblia na kwa ulimwengu wote.
Tuseme Kweli
Juu ya nini watu wanasemaka uongo, na hilo liko na matokeo gani? Namna gani tunaweza kusema kweli mumoja na mwingine?
Tufundishe Kweli
Katika wakati wenye tunabakia nao ili kuhubiri, tunapaswa kukaza akili yetu juu ya kuanzisha mafunzo ya Biblia na kufundisha watu kweli. Namna gani Vyombo vyetu vya Kufundishia vinaweza kutusaidia?
HABARI JUU YA MAISHA YA WATU
Yehova Alibariki Sana Uamuzi Wangu
Wakati alikuwa kijana, Charles Molohan alipanua utumishi wake kwa kujaza ombi la kutumika kwenye Beteli. Yehova amemubariki sana kwa miaka mingi tangu ile wakati.
Tumainia Kiongozi Wetu—Kristo
Kadiri tengenezo la Mungu linasonga mbele haraka, tuko na sababu gani tunapaswa kutumainia uongozi wa Kristo leo?
Endelea Kuwa na Amani ya Akili Hata Kama Hali Zinabadilika
Wakati maisha yetu yanabadilika bila kutazamia, tunaweza kupambana mahangaiko ya akili. Namna gani “amani ya Mungu” inaweza kutusaidia?
Ulijua?
Stefano alikuwa Mukristo wa kwanza kuuawa kwa sababu ya imani yake. Ni nini ilimusaidia abakie mwenye kutulia kabisa wakati alikuwa anateswa?