MUNARA WA MULINZI—GAZETI YA FUNZO Mwezi wa 11, 2016

Gazeti hili liko na habari za kujifunza tarehe 26 Mwezi wa 12, 2016 mupaka tarehe 29 Mwezi wa 1, 2017.

Neno Lenye Lilikuwa na Maana Kubwa!

Yesu alitumia maneno gani yenye yalionyesha sana adabu?

Muendelee Kutiana Moyo Kila Siku

Sababu gani ni jambo la maana kutiana moyo? Namna Yehova, Yesu, na Paulo walitia wengine moyo, inaweza kutufundisha nini? Namna gani unaweza kutia wengine moyo kwa njia yenye kufaa?

Tumepangwa Kupatana na Neno la Mungu

Yehova ni Mupangaji mukubwa zaidi. Wale wenye kumuabudu hawapaswe pia kuwa wenye kupangwa muzuri?

Unaheshimia Kabisa Neno la Yehova?

Watu wa Mungu wanapata matokeo ya muzuri sana wakati wanajikaza kutumikisha mashauri yenye kupatikana katika Neno lake na kutegemeza kwa ushikamanifu tengenezo lake.

“Kazi Ni Kubwa”

Uko na pendeleo la kutegemeza kazi hiyo.

Waliitwa Kutoka Katika Giza

Ni katika maana gani watu wa Mungu waliingia katika giza kati ya mwaka wa 101 na 200? Namna gani na wakati gani walianza kupata mwangaza?

Waliachiliwa Huru Kutoka Katika Dini ya Uongo

Ni wakati gani watu wa Mungu walitoka kabisa-kabisa katika makucha ya Babiloni?

“Wahubiri wa Ufalme Katika Uingereza— Muamuke!!”

Hakukuwa ongezeko kubwa katika hesabu ya wahubiri wa Ufalme katika Uingereza kwa miaka kumi! Nini ilibadilisha mambo mwishowe?