MUNARA WA MULINZI—GAZETI YA FUNZO Mwezi wa 11, 2018

Gazeti hili liko na habari za kujifunza tarehe 31 Mwezi wa 12, 2018 mupaka tarehe 3 Mwezi wa 2, 2019.

“Ununue Kweli na Usiiuzishe Hata Kidogo”

Kununua kweli, maana yake nini? Kisha kuipata, namna gani tunaweza kushikamana nayo?

“Nitatembea Katika Kweli Yako”

Namna gani tunaweza kutia nguvu azimio letu kushikamana sana kweli ya maana yenye Yehova ametufundisha?

Umutegemee Yehova ili Uishi!

Kitabu cha Habakuki kinaweza kutusaidia kuendelea kuwa watulivu hata kama tunapatwa na magumu.

Ni Nani Anafinyanga Mawazo Yako?

Namna unaweza kufinyangwa na mawazo ya Yehova hapana ya mwanadamu?

Unajikaza Kuwa na Mawazo Kama ya Yehova?

‘Kufanya upya akili yetu’ maana yake nini, na namna gani tunaweza kufanya vile?

Fazili—Sifa Yenye Kuonyeshwa Kupitia Maneno na Matendo

Fazili ni sehemu ya tunda la roho takatifu ya Mungu. Namna gani tunaweza kukomalisha sifa hiyo ya muzuri?

Maulizo ya Wasomaji Wetu

Watenda-mema wenye Yesu alizungumuzia mangaribi mbele ya kifo chake ni nani, na juu ya nini walipewa jina hilo la cheo?

Ni Zawadi Gani Tunaweza Kumutolea Yehova?

‘Vitu vyenye samani’ vyenye kutajwa katika Mezali 3:9 ni nini, na namna gani tunaweza kuvitumia ili kuendeleza ibada ya kweli?