Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

Endekse ya Habari Zenye Zilizungumuziwa Katika Munara wa Mulinzi na Amuka! 2019

Endekse ya Habari Zenye Zilizungumuziwa Katika Munara wa Mulinzi na Amuka! 2019

Inaonyesha gazeti kwenye kila habari inapatikana

MUNARA WA MULINZI GAZETI LA FUNZO

BIBLIA

  • Kitabu cha Kukunjwa cha Zamani “Chenye Hakingeweza Kufunguliwa,” 06

HABARI JUU YA MAISHA YA WATU

  • Tulipata ‘Lulu Yenye Samani Kubwa’ (Winston Payne na Pamela), 04

  • Uriti Muzuri wa Kikristo Ulinisaidia Niendelee Muzuri (Woodworth Mills), 02

  • Yehova Alinibariki Sana Kupita Vile Niliwazia (Manfred Tonak), 07

HABARI ZA KUJIFUNZA

  • “Angalia! Kundi Kubwa la Watu,” 09

  • Armagedoni Ni Habari Njema! 09

  • Chakula cha Mangaribi cha Bwana Chenye Hakina Mambo Mingi, Kinatufundisha Nini Juu ya Mufalme wa Mbinguni? 01

  • Endelea Kumuabudu Yehova Wakati Kazi Yetu Inakatazwa, 07

  • Endelea Kuwa Muaminifu-Mushikamanifu! 02

  • Endelea Kuwa Muaminifu Wakati wa “Taabu Kubwa,” 10

  • Endelea Kuwa na Mambo Mingi ya Kufanya Katika Sehemu ya Mwisho ya “Siku za Mwisho,” 10

  • Fanya Namna Yako ya Kujifunza Ikuwe Muzuri Zaidi! 05

  • Fanya Urafiki Wenye Nguvu Pamoja na Wengine Mbele Mwisho Ufike, 11

  • “Hatuache”! 08

  • Juu ya Nini Tunapaswa Kuonyesha Shukrani? 02

  • Kuhuzuria Mikutano Kunaonyesha Nini Juu Yetu? 01

  • Kuko Wakati wa Kufanya Kazi na Wakati wa Kupumuzika, 12

  • Kuonyesha Upendo na Haki ili Kupiganisha Uovu, 05

  • Mambo ya Kufanya Wakati Mugao Wako Unabadilika, 08

  • Mambo Yenye Kitabu cha Mambo ya Walawi Kinatufundisha, 11

  • Muache Upendo Wenu Ukuwe Mwingi, 08

  • “Muende . . . Mufanye Wanafunzi,” 07

  • “Mufanye Angalisho ili Mutu Yeyote Asiwakamate Mateka”! 06

  • “Mukuje Kwangu, . . . na Mimi Nitawapumuzisha,” 09

  • Namna Roho Takatifu Inatusaidia, 11

  • Namna ya Kufariji Wale Wenye Wametendewa Mubaya Kingono, 05

  • Namna ya Kugusa Mioyo ya Watu Wenye Hawapendezwe na Mambo ya Dini, 07

  • Ni Kitu Gani Kinanizuia Nisibatizwe? 03

  • Pindua Kila Wazo Lenye Kupingana na Ujuzi wa Mungu! 06

  • Saidia Wengine Wapiganishe Mahangaiko, 06

  • Sikiliza Sauti ya Yehova, 03

  • Tafuta Upole ili Kumupendeza Yehova, 02

  • Tuhangaikie Namna Wengine Wanajisikia, 03

  • Ujitayarishe Leo kwa Ajili ya Mateso, 07

  • Ujitie pa Nafasi ya Wengine Katika Kazi Yako ya Kuhubiri, 03

  • Uko Unatunza ‘Ngao Yako Kubwa ya Imani’? 11

  • Ukubali Musaada wa Yehova ili Kupinga Pepo Wachafu, 04

  • Ukuwe Tayari Kujitiisha kwa Yehova, Juu ya Nini na Namna Gani? 09

  • ‘Umalizie Kile Chenye Ulianza,’ 11

  • Umuige Yesu ili Uendelee Kuwa na Amani, 04

  • Umutegemee Yehova Wakati Uko na Mahangaiko, 06

  • Umusifu Yehova Katika Kutaniko, 01

  • Unamujua Yehova Muzuri Kabisa? 12

  • Unatimiza kwa Ukamili Utumishi Wako? 04

  • Unaweza Kufanya Nini ili Kulinda Moyo Wako? 01

  • Upendo na Haki Katika Israeli ya Zamani, 02

  • Upendo na Haki Katika Kutaniko la Kikristo, 05

  • Ushikamane na Kweli Juu ya Kifo, 04

  • Ushikamane na Yehova Tu, 10

  • Usidanganywe na “Hekima ya Ulimwengu Huu,” 05

  • “Usihangaike, kwa Maana Niko Mungu Wako,” 01

  • “Wale Wenye Wanakusikiliza” Wataokolewa, 08

  • Wazazi, Mufundishe Watoto Wenu Wamupende Yehova, 12

  • Yehova Anafanya Mupango ili Ukuwe Huru, 12

  • Yehova Anaona Watumishi Wake Wanyenyekevu Kuwa wa Maana, 09

  • Yehova Atakutumia Namna Gani? 10

MAISHA NA SIFA ZA KIKRISTO

  • Imani​—Sifa Yenye Inatutia Nguvu, 08

  • “Mushukuru kwa Kila Jambo,” 12

  • Wema​—Unaweza Kufanya Nini ili Kukomalisha ile Sifa? 03

  • Yohana Mubatizaji​—Mufano Wake Unaweza Kutusaidia Tuendelee Kuwa na Furaha, 08

MAMBO INGINE

  • Kujilinda Kabisa na Mutego Fulani wa Shetani (pornografia), 06

  • Kusafiri kwa Mashua Wakati wa Zamani, 04

  • Masinagogi Ilianza Namna Gani? 02

  • Wakati wa Zamani, Wasimamizi-Nyumba Walikuwa na Daraka Gani? 11

MASHAHIDI WA YEHOVA

  • 1919​—Kumepita Sasa Miaka Mia Moja, 10

  • Ndugu Mupya wa Baraza Lenye Kuongoza (Kenneth Cook), 01

MAULIZO YA WASOMAJI WETU

  • Juu ya nini mutoto mwanamuke mwenye alilalwa kinguvu katika “eneo la mashamba” alionwa kuwa hana kosa bila ushuhuda wa mashahidi wawili? (Kum 22:25-27), 12

  • Je, fundisho la kutokufa kwa nafsi lilianzia katika Edeni? (Mwa 3:4), 12

YEHOVA

  • Anaona “Amina” Yako Kuwa ya Maana, 03

  • Anaonya Watu Wakati wa Kutosha? 10

YESU KRISTO

  • Alikufa Kabisa kwa Ajili Yangu? 07

MUNARA WA MULINZI GAZETI LA WATU WOTE

  • Hakuna Maisha Ingine? Na. 3

  • Je, Maisha Iko na Maana? Na. 2

  • Mungu Ni Nani? Na. 1

AMUKA!

  • Je, Biblia Inaweza Kukuletea Faida Katika Maisha? Na. 3

  • Kuko Siku Tutaishi kwa Amani na Usalama? Na. 1

  • Somo Sita Zenye Watoto Wanapaswa Kujifunza, Na. 2