MUNARA WA MULINZI—GAZETI YA FUNZO Mwezi wa 4, 2018

Gazeti hili liko na habari za kujifunza tarehe 4 Mwezi wa 6 mupaka tarehe 8 Mwezi wa 7, 2018.

Namna ya Kupata Uhuru wa Kweli

Watu fulani wanataka kuwa huru kutoka katika mateso, ubaguzi, na umaskini, na wengine wanaomba wakuwe na uhuru wa kusema, ao wa kuchagua. Inawezekana kuwa na uhuru wa kweli?

Umutumikie Yehova, Mungu wa Uhuru

Namna gani roho ya Mungu imetuweka huru? Na namna gani tunaweza kuepuka kutumia mubaya uhuru wenye Mungu ametupatia?

Wanaume Wenye Kuwa na Madaraka—Muige Mufano wa Timotheo

Inaonekana kuwa Timotheo hakukuwa anajiaminia wakati alianza kutumika pamoja na mutume Paulo. Mufano wa Timotheo unaweza kufundisha nini wazee wa kutaniko na watumishi wa huduma?

Umuige Yehova​—Mungu Mwenye Kutia Moyo

Siku zote watumishi wa Yehova wamekuwa na lazima ya kutiwa moyo.

Tutiane Moyo, Zaidi Sana Leo

Kwa sababu siku ya Yehova inakaribia sana, tunapaswa kupendezwa na ndugu na dada zetu ili kuwatia nguvu wakati wowote ni lazima kufanya hivyo.

Vijana, Munakaza Akili juu ya Miradi ya Kiroho?

Vijana wanaweza kuvurugika kwa sababu ya nafasi zenye wanapata na maamuzi yenye wanapaswa kukamata. Namna gani wanaweza kukamata maamuzi yenye hekima juu ya wakati wao wenye kuja?

Maulizo ya Wasomaji Wetu

Sababu gani hairuhusiwe kutia vichapo vya Mashahidi wa Yehova kwenye site ya Internete ya kipekee ao kwenye site za Internete za kupashana habari?

Maulizo ya Wasomaji Wetu

Sababu gani maneno ya Zaburi ya 144 yalirekebishwa katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya?