MUNARA WA MULINZI—GAZETI YA FUNZO Mwezi wa 5, 2018

Gazeti hili liko na habari za kujifunza tarehe 9 Mwezi wa 7 mupaka tarehe 5 Mwezi wa 8, 2018.

HABARI JUU YA MAISHA YA WATU

Mwanzo Wenye Umaskini Lakini Mwisho Wenye Utajiri

Samuel Herd alikomalia katika maisha yenye umaskini kimwili, lakini miaka yake ya mwisho imeonekana kuwa yenye utajiri kiroho, utajiri zaidi kuliko namna angewezakuwazia.

Amani​—Namna Gani Unaweza Kuipata?

Kwa sababu tunaishi katika ulimwengu wenye kuwa na muvurugo, tunapaswa kujikaza sana ili tukuwe na amani. Neno la Mungu linaweza kutusaidia.

Yehova Anapenda Wale Wenye ‘Kuzaa Matunda kwa Uvumilivu’

Tunaweza kuvunjika moyo wakati tunahubiri katika maeneo kwenye watu hawapendezwe sana. Hata hivyo, sisi wote tunaweza kuzaa matunda katika kazi ya kuhubiri.

Sababu Gani ‘Tunaendelea Kuzaa Matunda Mengi’?

Ni jambo la maana tuendelee kukumbuka sababu gani tunahubiri.

Umujue Adui Yako

Tunajua namna Shetani anadanganya watu ao ujanja wake.

Vijana​—Musimame Imara na Kumupinga Ibilisi

Sisi wote tunapigana vita ya kiroho. Vijana wengi wanaweza kuonekana kama wako zaifu, lakini wamevaa silaha kwa ajili ya vita.

Mavuno Mengi!

Katika eneo moja la Ukrainia, mutu mumoja kati ya watu ine ni Shahidi wa Yehova!