MUNARA WA MULINZI—GAZETI YA FUNZO Mwezi wa 6, 2018

Gazeti hili liko na habari za kujifunza tarehe 6 Mwezi wa 8 mupaka tarehe 2 Mwezi wa 9, 2018.

“Ufalme Wangu Si Sehemu ya Ulimwengu Huu”

Namna gani mawazo ya Yesu juu ya migawanyiko ya wakati wake yanaweza kuchochea mawazo yetu juu ya mambo ya politike na ya kijamii?

Sisi Wote Tukuwe na Umoja Kama Vile Yehova na Yesu Wako na Umoja

Unaweza kufanya nini ili kutia nguvu umoja wa watu wa Mungu?

Angekubaliwa na Mungu

Mufamo wa Rehobomu, mufalme wa Yuda, unatusaidia kuelewa jambo lenye Yehova anatafuta ndani ya kila mumoja wetu.

Uache Sheria na Kanuni za Mungu Zizoeze Zamiri Yako

Mungu alitupatia busole ya kuongoza mwenendo wetu, Lakini tunapaswa kuhakikisha kama inatuongoza katika njia ya muzuri.

‘Muache Nuru Yenu Iangaze’ ili Kumutukuza Yehova

Tunapaswa kufanya mambo mengi zaidi ya kuhubiri tu habari njema.

HABARI JUU YA MAISHA YA WATU

Nimefarijiwa Katika Mahangaiko Yangu Yote

Edward Bazely alipambana na matatizo ya familia, upinzani wa dini, kuvunjika moyo, na kushuka moyo.

Salamu Iko na Nguvu Nyingi

Hata salamu fupi inaweza kutimiza mambo mengi

Unakumbuka?

Unaweza kujibia maulizo haya yenye kutegemea habari za hivi karibuni za magazeti Munara wa Mulinzi?