MUNARA WA MULINZI—GAZETI YA FUNZO Mwezi wa 9, 2018

Gazeti hili liko na habari za kujifunza tarehe 29 Mwezi wa 10 mupaka tarehe 2 Mwezi wa 12, 2018

“Kama Munajua Mambo Haya, Ninyi Ni Wenye Furaha Ikiwa Munayatenda”

Ni katika njia gani tunaweza kuendelea kuonyesha unyenyekevu, na juu ya nini ni jambo la maana kufanya vile?

Wakristo Wenye Kuzeeka—Yehova Anapendezwa Sana na Ushikamanifu Wenu

Leo, namna gani wanaume Wakristo wenye kuzeeka wameonyesha kiasi?

Endelea Kuonyesha Upendo—Upendo Unajenga

Ona namna tunaweza kutiana nguvu katika siku hizi za mwisho zenye magumu.

Wenye Furaha Ni Wale Wenye Kumutumikia “Mungu Mwenye Furaha”

Namna gani tunaweza kuwa wenye furaha hata kama tuko na magumu na matatizo?

Unajua Wakati?

Namna gani watu walikuwa wanasema wakati katika Biblia?

Ni Mweza-Yote Lakini Anafikiria Wengine

Namna gani Yehova anaonyesha mufano muzuri sana wa kufikiria wengine?

Umuige Yehova kwa Kufikiria Wengine na Kuwatendea kwa Wema

Ujifunze namna za kufikiria wengine mu familia, mu kutaniko, na mu kazi ya kuhubiri.