MUNARA WA MULINZI—GAZETI YA FUNZO Mwezi wa 9, 2019

Gazeti hili liko na habari za kujifunza tarehe 28 Mwezi wa 10 mupaka tarehe 1 Mwezi wa 12, 2019.

Yehova Anaona Watumishi Wake Wanyenyekevu Kuwa wa Maana

Unyenyekevu ni moja kati ya sifa za maana sana zenye tunapaswa kuwa nazo. Juu ya nini inaweza kuwa nguvu kuendelea kuwa wanyenyekevu wakati hali zetu zinabadilika?

Armagedoni Ni Habari Njema!

Kutakuwa matukio gani makubwa mbele ya Armagedoni? Tunaweza kufanya nini ili tuendelee kuwa waaminifu kadiri mwisho unakaribia?

Ukuwe Tayari Kujitiisha kwa Yehova, Juu ya Nini na Namna Gani?

Wazee, baba, na mama wanaweza kujifunza mambo fulani juu kujitiisha kupitia mufano wa Gavana Nehemia; Mufalme Daudi; na Maria, mama ya Yesu.

“Mukuje Kwangu, . . . na Mimi Nitawapumuzisha”

Tunapaswa kufanya nini ili tukubali mwaliko wa Yesu? Tutaendelea kupata pumuziko chini ya nira ya Yesu kama tunafanya mambo tatu.

“Angalia! Kundi Kubwa la Watu”

Katika maono ya Yohana ya kiunabii, Yehova alionyesha “kundi kubwa la watu” wenye wataokoka taabu kubwa na kuishi milele ku duni wangekuwa nani, alionyesha kama wangekuwa wengi sana, na wangetoka katika mataifa yote.