Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

Utangulizi

Utangulizi

BIBLIA INGALI YENYE FAIDA LEO?

Leo, ulimwengu umefanya maendeleo katika mambo ya teknolojia na imekuwa mwepesi kupata habari nyingi sana; je, hilo linafanya Biblia isikuwe tena na faida? Biblia inasema hivi:

“Andiko lote limeongozwa na roho ya Mungu nalo ni lenye faida.”​— 2 Timotheo 3:16.

Gazeti hili Munara wa Mulinzi linazungumuzia mambo yenye kuonyesha kuwa Biblia inaweza kutuongoza katika kila hali ya maisha yetu.