Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

Utangulizi

Utangulizi

Magonjwa ya akili ni tatizo yenye kuenea mu dunia yote na iko natesa mamilioni ya watu. Inaweza kupata watu wa miaka, desturi, rangi, kabila, ao dini yoyote. Inaweza kupata wenye walisoma ao wenye hawakusoma, na pia maskini ao matajiri. Afya ya akili ni nini, na inahangaisha watu namna gani? Hii gazeti itazungumuzia faida ya kupata matunzo yenye kufaa na namna Biblia inaweza kusaidia mu njia mbalimbali wale wenye wako na ile matatizo.