Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

Wapole Watariti Dunia

Wapole Watariti Dunia

Watu wengi kati yetu wamejionea matendo ya ukosefu wa haki, na namna watu wazuri na wenye wanajikaza kufanya mambo yenye kuwa sawa wanateswa na watu waovu. Je, kutakuwa wakati wenye ukosefu wa haki na uovu havitakuwa tena?

Zaburi 37 inatusaidia kupata jibu katika Biblia, pamoja na muongozo wenye tunapaswa kufuata leo. Ona mambo yenye inasema kuhusu maulizo haya ya maana.

  • Tunaweza kutendea namna gani wale wenye wanatutesa?​—Mustari wa 1, 2.

  • Watu wabaya watapatwa na nini?​Mustari wa 10.

  • Wakati wenye kuja utakuwa namna gani kwa watu wenye kufanya mambo yenye kuwa sawa?​Mustari wa 11, 29.

  • Tunapaswa kufanya nini leo?​Verse 34.

Maneno yenye kuongozwa na roho ya Mungu yenye kupatikana katika Zaburi 37 yanazungumuzia wakati wenye kuja wa muzuri sana kwa wale wenye ‘kumutumaini Yehova na kuishika njia yake.’ Mashahidi wa Yehova watafurahi kukusaidia ili ujifunze Biblia na kujua kile unaweza kufanya ili tumaini lako la wakati wenye kuja likuwe hakika kwako na kwa wapendwa wako.