Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

Kuko Tumaini Gani kwa Watu Wenye Wamekufa?

Kuko Tumaini Gani kwa Watu Wenye Wamekufa?

Sisi wote tunapatwa na huzuni ya kufiwa. Lakini, kifo njo mwisho wa mambo yote? Watu wenye wamekufa, wamesahauliwa milele? Kuko tumaini lolote kwa wale wenye wamekufa?

ONA MAMBO YENYE BIBLIA INASEMA:

MUNGU HASAHAU WALE WENYE WAMEKUFA

“Wale wote wenye kuwa katika makaburi ya ukumbusho . . . watatoka.”​—Yohana 5:28, 29.

Mungu anakumbuka wale wenye wamekufa; wale wote wenye kuwa katika kumbukumbu lake watafufuliwa.

KUTAKUWA UFUFUO KATIKA DUNIA

“Kutakuwa ufufuo wa wenye haki na wenye hawako wenye haki.”​—Matendo 24:15.

Mamiliare ya watu watafufuliwa wakiwa na tumaini la kuishi milele katika amani nyingi.

TUMAINI LA UFUFUO NI LA KWELI

“[Mungu] anahesabia jumla ya nyota; zote anaziita kwa majina.”​—Zaburi 147:4.

Juu Mungu iko na uwezo wa kuita nyota zote kwa majina, ni mwepesi kwake kukumbuka watu wenye atafufua.