MUNARA WA MULINZI—GAZETI YA FUNZO Mwezi wa 12, 2024

Hii gazeti iko na habari za kujifunza tarehe 3/2–​2/3, 2025.

HABARI YA KUJIFUNZA YA 48

Muujiza wa Mikate Wenye Yesu Alifanya

Habari ya kujifunza mu juma ya tarehe 3-9/02, 2025.

HABARI YA KUJIFUNZA YA 49

Unapaswa Kufanya Nini Juu Uishi Milele?

Habari ya kujifunza mu juma ya tarehe 10-16/2, 2025.

HABARI YA KUJIFUNZA YA 50

Bazazi—Musaidie Mutoto Wenu Atie Nguvu Imani Yake

Habari ya kujifunza mu juma ya tarehe 17-23/2, 2025.

HABARI YA KUJIFUNZA YA 51

Yehova Anaona Machozi Yako

Habari ya kujifunza mu juma ya tarehe 24/2–2/3, 2025.

HABARI JUU YA MAISHA YA WATU

Siyaachaka Kujifunza

Joel Adams anaeleza mambo yenye imemusaidia aendelee kuvumilia kwa furaha mu utumishi wa Yehova kwa zaidi ya miaka 80.

Maulizo ya Wasomaji Wetu

“Malaika wenye walichaguliwa” wenye kuzungumuziwa mu 1 Timoteo 5:21 ni nani?

Unakumbuka?

Umesoma kwa uangalifu magazeti ya Munara wa Mulinzi ya hii mwaka? Kama ni vile, pima kujibia hii maulizo.

Watu Waaminifu Wanatimizaka Naziri Zao

Mufano wa Yefta na mutoto wake mwanamuke unaweza kutufundisha nini?