MUNARA WA MULINZI—GAZETI YA FUNZO Mwezi wa 8, 2024

Hii gazeti iko na habari za kujifunza tarehe 7/10–​10/11, 2024.

HABARI YA KUJIFUNZA YA 31

Mambo Yenye Yehova Amefanya Juu ya Kukomboa Wanadamu Wenye Zambi

Habari ya kujifunza mu juma ya tarehe 7-13/10, 2024.

Maulizo ya Wasomaji Wetu

2 Watesalonike 3: 14 inazungumuzia kutia alama, ni nani njo anapaswa kufanya vile, wazee ao Wakristo kipekee?

HABARI YA KUJIFUNZA YA 32

Yehova Anapenda Batu Yote Batubu

Habari ya kujifunza mu juma ya tarehe 14-20/10, 2024.

HABARI YA KUJIFUNZA YA 33

Namna Kutaniko Inaweza Kuwa na Mawazo ya Yehova Juu ya Watenda-zambi

Habari ya kujifunza mu juma ya tarehe 21-27/10, 2024.

HABARI YA KUJIFUNZA YA 34

Namna ya Kuonyesha Watenda-zambi Upendo na Rehema

Habari ya kujifunza mu juma ya tarehe 28/10–​3/11, 2024.

HABARI YA KUJIFUNZA YA 35

Namna Wazee Wanaweza Kusaidia Wenye Wanaondolewa mu Kutaniko

Habari ya kujifunza mu juma ya tarehe 4-10/11, 2024.

Kwa Wasomaji

Mu hii gazeti muko habari za funzo zenye kuzungumuzia namna Yehova anaona na kusaidia wale wenye wamefanya zambi na namna tunaweza kuiga huruma, upendo na rehema ya Yehova.